Wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu

Wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu

Huyo demu anatumia jina gani fb

Kama tu humu unajiita sharobaro was JF


Sijui huko FB unajiitaje jumlisha na avatar yako

Hizi mambo za uchakataji CEO no Zero IQ
 
Daaah wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu, inshort nina wiki sina maelewano na demu wangu ambae tunakaa mbali mbali sasa na jamaa angu ambae ni msela yaani tunapatana utadhani sisi ni ndugu wa damu.

Juzi kati kampost FB demu wangu akaandika caption ya love is blind

Then demu wangu akaja kukomenti welcome back na makopakopa mengi ya love, daah wakuu nimechanganyikiwa na sipendi kugombana na mshikaji wangu kisa demu, nifanyaje?

Yaani nahisi hadi kuumwa
Achana naye! Kwanza kale ka pot honey kake hata hakatimii robo kilo, shida ya nini sasa?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu, inshort nina wiki sina maelewano na demu wangu ambae tunakaa mbali mbali sasa na jamaa angu ambae ni msela yaani tunapatana utadhani sisi ni ndugu wa damu.

Juzi kati kampost FB demu wangu akaandika caption ya love is blind

Then demu wangu akaja kukomenti welcome back na makopakopa mengi ya love, daah wakuu nimechanganyikiwa na sipendi kugombana na mshikaji wangu kisa demu, nifanyaje?

Yaani nahisi hadi kuumwa
kwani umegongwa wewe?kaa pembeni,siti ishachukuliwa hiyo
 
Daaah wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu, inshort nina wiki sina maelewano na demu wangu ambae tunakaa mbali mbali sasa na jamaa angu ambae ni msela yaani tunapatana utadhani sisi ni ndugu wa damu.

Juzi kati kampost FB demu wangu akaandika caption ya love is blind

Then demu wangu akaja kukomenti welcome back na makopakopa mengi ya love, daah wakuu nimechanganyikiwa na sipendi kugombana na mshikaji wangu kisa demu, nifanyaje?

Yaani nahisi hadi kuumwa
Kama mmeshibana unamuuliza tu kwani vipi ? kama ni jamaa yako haswa lazima aone aibu kukufanyia unyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SITASAHAU HILI

Mimi nikiwa A-Level kuna demu nilimpenda sana sana sana, nikawashirikisha washikaji wangu wa karibu kama wawili hivi mmoja alitumika kunishauri, mwingine alinisaidia kuongea na kumweka karibu. Coz wakati huo nilikuwa mtoto lakini pia domo zege. Aliyeenda kuongea naye aliongea naye vyema sana...nikawa naye kwa mda baadaye nikaona kama demu haeleweki eleweki...bahati nzuri tuenda wote chuo ila yeye alikuwa nyuma yangu. Nilianzisha tena vuguvugu akanielewa baada ya mda kama miezi miwili nilimkuta na rafiki yangu yule aliyenishauri, sikumaindi wala nini.Nikawatakia kila la kheri....

Nilianzisha vuguvugu lingine na mrembo mmoja dah...Namshukuru Mungu akanielewa mpaka sasa nipo naye tulifunga ndoa MAISHA NI MAZUUURI SANA TUNAPENDANA WOTE.

Sasa jamaa yangu (mshauri) naye alipigwa chini...mpaka sasa hajaoa na anapitia great depression ya mapenzi [emoji851].

USHAURI:
Kama ni demu/mke/mpenzi wako tayari kaonyesha si mwaminifu kwako. So achana naye anzisha vuguvugu lingine utampata unayempenda, tulia naye jengeni nyumba ya mapenzi mioyoni mwenu. HUTOJUITIA KUMWACHA HUYU WA SASA ASIYE MWAMINIFU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom