Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 325
pw pw chalii
Ni mke au ni manzi tu? Kama ni manzi tu temana nae na msela temana nae pia.
Usiumwe kisa mambo ya kiwaki. Mbona kuna wanawake wengi tu kitaa.
pw pw
Pambana na Corona Tu kipindi hiki..
Mengine yote upumbavu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa ndio wakaka wa FB
Pambania ugali wa hela yote pus**ies are many ww
Mkuu naona leo upo huku..!!Nilijuwa mke kumbe Demu tu acha kulia lia mwanaume wanawake wamejaa mtaani tafuta demu mwingine unalilia demu shame on u!
NakaziaNi mke au ni manzi tu? Kama ni manzi tu temana nae na msela temana nae pia.
Usiumwe kisa mambo ya kiwaki. Mbona kuna wanawake wengi tu kitaa.
Karibu kwa I'd nyingine bibieKizuri kula na mwenzio jaman.....chaaaaaa[emoji849]