Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 722
- 1,030
Habari za mchana huu wakubwa, Poleni kwa misiba na Mihangaiko ya maisha ya kila siku!
Eeeh bhana, hebu Ngoja nielekee kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni kijana wa Miaka 25+ nina Mke naishi naye. Eeeh bhana, Mke wangu ananipa utamu na anajitahidi sana kunijali kimwili. Hapa leo tuna mfululizo leo siku ya nne Napiga game usiku na asubuhi kila siku na show yenyewe ni nzuri mpaka kuna wakati anasema anahisi Moto unawaka kunako!
Ila nikitoka hapo asubuhi nikiingia kwenye mihangaiko ya hapa na pale, najikuta navutiwa kimapenzi na mwanamke atakaye pita mbele yangu hasa hasa awe na kamwili fulani kana nyama ila sio kitambi sana (Wakuu naamini mmenielewa) na Chura [emoji39][emoji39][emoji39] yaani naanza kuomba namba na bahati mbaya au nzuri nina ki Baby walker Changu wanawake hawachomoki yaani nikutekenya tu anakuambia sawa wewe tu ukiwa na nafasi niambie[emoji1].
Sasa leo mchana huu nimekaa nina waza sana, na hii imekuja baada ya kuongea na demu mmoja hivi anafanya kazi kwenye Fahari huduma fulani anaelekea ku tick [emoji736] ila nimemwambia sijaoa. Ila najiona kama ninamkosea huyu mke wangu..! Anajitahidi sana kunihudumia yaani kuna wakati nakuwa najiuliza hivi hii haki kweli ?? Na hapo nimecheza mechi kama mbili za ugenini [emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Nahisi nina Pepo la Ngono aseee..! Wanaume wenzangu ambao mmeoa mnawezaje kuzikabili hizi changamoto. Hebu jaribu ku share uzoefu wako.! Najiskia vibaya kumfanyia haya huyu mwanamke wangu ila ndio hivyo najikuta nimetongoza mtu ila baadae ndio haya mawazo yabakuja.! [emoji41]
Akili yangu kama imejaa Hamu ya Mwanamke kila wakati daah [emoji31][emoji31]
Eeeh bhana, hebu Ngoja nielekee kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni kijana wa Miaka 25+ nina Mke naishi naye. Eeeh bhana, Mke wangu ananipa utamu na anajitahidi sana kunijali kimwili. Hapa leo tuna mfululizo leo siku ya nne Napiga game usiku na asubuhi kila siku na show yenyewe ni nzuri mpaka kuna wakati anasema anahisi Moto unawaka kunako!
Ila nikitoka hapo asubuhi nikiingia kwenye mihangaiko ya hapa na pale, najikuta navutiwa kimapenzi na mwanamke atakaye pita mbele yangu hasa hasa awe na kamwili fulani kana nyama ila sio kitambi sana (Wakuu naamini mmenielewa) na Chura [emoji39][emoji39][emoji39] yaani naanza kuomba namba na bahati mbaya au nzuri nina ki Baby walker Changu wanawake hawachomoki yaani nikutekenya tu anakuambia sawa wewe tu ukiwa na nafasi niambie[emoji1].
Sasa leo mchana huu nimekaa nina waza sana, na hii imekuja baada ya kuongea na demu mmoja hivi anafanya kazi kwenye Fahari huduma fulani anaelekea ku tick [emoji736] ila nimemwambia sijaoa. Ila najiona kama ninamkosea huyu mke wangu..! Anajitahidi sana kunihudumia yaani kuna wakati nakuwa najiuliza hivi hii haki kweli ?? Na hapo nimecheza mechi kama mbili za ugenini [emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Nahisi nina Pepo la Ngono aseee..! Wanaume wenzangu ambao mmeoa mnawezaje kuzikabili hizi changamoto. Hebu jaribu ku share uzoefu wako.! Najiskia vibaya kumfanyia haya huyu mwanamke wangu ila ndio hivyo najikuta nimetongoza mtu ila baadae ndio haya mawazo yabakuja.! [emoji41]
Akili yangu kama imejaa Hamu ya Mwanamke kila wakati daah [emoji31][emoji31]