Wakuu, nahisi nina pepo la ngono

Wakuu, nahisi nina pepo la ngono

Mkuu hicho ni kipawa ulichopewa na mwenyezi mungu wengine tushatumia mamilioni kutafuta hicho unachokiita pepo na daima tambua mwili ndo huongoza akili niliwahi kuona mtu anakunywa maji ya chooni tena machafu sana ambayo watu hutumia hadi kujisafisha baada ya kukata gogo kwa sababu tu mwili una kiu unahitaji maji ni lazima tu utakunywa

Daaah .! Huyo mwenzangu mwili wake ulikuwa unamtuma vibaya.!
 
Unawaza ngono mda wote hivyo ni sahihi mangono ngono kukufuata

Badilika anza kuwaza kuingiza pesa flani ambayo huna kwa mwaka ili akili iamie huko
 
BRO NAKUSHAURI UENDELEE! HILO PEPO UKIACHA TUU UNAANZA KUWASHWA MATAKO..! AU KOMAA MBAKA UPATE GONO AU KASWENDE KILE KIPINDI CHA MATIBABU USAHA UNATOKA NA MAUMIVU MAKALI WE ANZA KUFANYA IBADA! HAPO PEPO LITAKUACHA.. 🥴
 
Huna pepo wala nn
It's natural.
Kwa umri wako huo
Na vijipesa ulivyonavyo
Na kwa mji unaoishi
Na kwa kutokua mcha Mungu
Na kwa kutokua na majukumu mengi

Hiyo tabia ndo fahari ya ujana. Ila kuwa mwangalifu coz wewe ni miongoni mwa vijana wengi wa ki Tz ambao hupata fursa hizo katika umri Kama wako.

Changamoto huwa ni ku mantain fahari hiyo. Wengi wese ukata mapema na kubakiza tu story .

Jitahidi kubalance tamaa za mwili na ongeza sense ya uwajibikaji na kumcha Mungu . Utafurahia zawadi ya uhai.
 
Habari za mchana huu wakubwa, Poleni kwa misiba na Mihangaiko ya maisha ya kila siku!

Eeeh bhana, hebu Ngoja nielekee kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni kijana wa Miaka 25+ nina Mke naishi naye. Eeeh bhana, Mke wangu ananipa utamu na anajitahidi sana kunijali kimwili. Hapa leo tuna mfululizo leo siku ya nne Napiga game usiku na asubuhi kila siku na show yenyewe ni nzuri mpaka kuna wakati anasema anahisi Moto unawaka kunako!

Ila nikitoka hapo asubuhi nikiingia kwenye mihangaiko ya hapa na pale, najikuta navutiwa kimapenzi na mwanamke atakaye pita mbele yangu hasa hasa awe na kamwili fulani kana nyama ila sio kitambi sana (Wakuu naamini mmenielewa) na Chura [emoji39][emoji39][emoji39] yaani naanza kuomba namba na bahati mbaya au nzuri nina ki Baby walker Changu wanawake hawachomoki yaani nikutekenya tu anakuambia sawa wewe tu ukiwa na nafasi niambie[emoji1].

Sasa leo mchana huu nimekaa nina waza sana, na hii imekuja baada ya kuongea na demu mmoja hivi anafanya kazi kwenye Fahari huduma fulani anaelekea ku tick [emoji736] ila nimemwambia sijaoa. Ila najiona kama ninamkosea huyu mke wangu..! Anajitahidi sana kunihudumia yaani kuna wakati nakuwa najiuliza hivi hii haki kweli ?? Na hapo nimecheza mechi kama mbili za ugenini [emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]

Nahisi nina Pepo la Ngono aseee..! Wanaume wenzangu ambao mmeoa mnawezaje kuzikabili hizi changamoto. Hebu jaribu ku share uzoefu wako.! Najiskia vibaya kumfanyia haya huyu mwanamke wangu ila ndio hivyo najikuta nimetongoza mtu ila baadae ndio haya mawazo yabakuja.! [emoji41]

Akili yangu kama imejaa Hamu ya Mwanamke kila wakati daah [emoji31][emoji31]
HAUNA PEPO LA NGONO ILA HAUNA CHA MAANA SANA AMBACHO KITAHITAJI MATUMIZI YA NGUVU ZA AKILI NA MWILI KWA KIASI KIKUBWA MORE THAN 75%. AKILI YAKO HAINA INACHO FOCUS SANA, UMEIWEKA HURU KUFIKIRIA NGONO. KWA HIYO UNATUMIA NAFASI INAYOACHWA WAZI NA AKILI YAKO KUTIMIZA HITAJI LA MWILI WAKO...I GET A POINT NI KWAMBA HATA SHOW UNAZOPIGA SIO ZILE ZA KUVUNJA REKODI ZA MAISHA YAKO AMBAPO UTASEMA I WILL NEVER FORGET.....FANYA JAMBO MOJA TU ILI AKILI YAKO IWEZE KUWA NA FOCUS, MAANA HAPO ILIPO IMETAWANYIKA SANA. .............OGA MAJI CHUMVI.........HATA MWEZI MZIMA ASUBUHI NA JIONI......MAZOEZI YA MWILI NA KUPANGA RATIBA STAHIKI ZA UTENDAJI WA KILA SIKU ZITAKUSAIDIA............................MAENDELEO HAYANA CHAMA, MAPAMBANO BADO YANAENDELEA
 
HAUNA PEPO LA NGONO ILA HAUNA CHA MAANA SANA AMBACHO KITAHITAJI MATUMIZI YA NGUVU ZA AKILI NA MWILI KWA KIASI KIKUBWA MORE THAN 75%. AKILI YAKO HAINA INACHO FOCUS SANA, UMEIWEKA HURU KUFIKIRIA NGONO. KWA HIYO UNATUMIA NAFASI INAYOACHWA WAZI NA AKILI YAKO KUTIMIZA HITAJI LA MWILI WAKO...I GET A POINT NI KWAMBA HATA SHOW UNAZOPIGA SIO ZILE ZA KUVUNJA REKODI ZA MAISHA YAKO AMBAPO UTASEMA I WILL NEVER FORGET.....FANYA JAMBO MOJA TU ILI AKILI YAKO IWEZE KUWA NA FOCUS, MAANA HAPO ILIPO IMETAWANYIKA SANA. .............OGA MAJI CHUMVI.........HATA MWEZI MZIMA ASUBUHI NA JIONI......MAZOEZI YA MWILI NA KUPANGA RATIBA STAHIKI ZA UTENDAJI WA KILA SIKU ZITAKUSAIDIA............................MAENDELEO HAYANA CHAMA, MAPAMBANO BADO YANAENDELEA

Ahsante Mkuu
 
Huna pepo wala nn
It's natural.
Kwa umri wako huo
Na vijipesa ulivyonavyo
Na kwa mji unaoishi
Na kwa kutokua mcha Mungu
Na kwa kutokua na majukumu mengi

Hiyo tabia ndo fahari ya ujana. Ila kuwa mwangalifu coz wewe ni miongoni mwa vijana wengi wa ki Tz ambao hupata fursa hizo katika umri Kama wako.

Changamoto huwa ni ku mantain fahari hiyo. Wengi wese ukata mapema na kubakiza tu story .

Jitahidi kubalance tamaa za mwili na ongeza sense ya uwajibikaji na kumcha Mungu . Utafurahia zawadi ya uhai.

Nimekuelewa Mkuu
 
BRO NAKUSHAURI UENDELEE! HILO PEPO UKIACHA TUU UNAANZA KUWASHWA MATAKO..! AU KOMAA MBAKA UPATE GONO AU KASWENDE KILE KIPINDI CHA MATIBABU USAHA UNATOKA NA MAUMIVU MAKALI WE ANZA KUFANYA IBADA! HAPO PEPO LITAKUACHA.. [emoji3061]

We Mwanga nini ?? Yaani unaniombea niugue ? Fala sana we jamaa
 
Unawaza ngono mda wote hivyo ni sahihi mangono ngono kukufuata

Badilika anza kuwaza kuingiza pesa flani ambayo huna kwa mwaka ili akili iamie huko

Sawa Mkuu, Nita jitahidi kuwekeza nguvu zangu huko
 
Back
Top Bottom