Wakuu, nahisi nina pepo la ngono

acha corona itufaidi kama hawa ndo ma great thinker wetu... Unadhani kuna nini sasa

Wote nyie machoko tu.! Jf is nothing without MF jerks, i am not surprised to see you majestically commenting rubbish on serious matter. Period !
 
Vua nguo zote kisha nenda kwene kioo fungulia mziki anza kucheza huku unajiangalia msambwanda

Nna imani hasira zote zitaisha


Karibu Wine Mkuu upozee hizo hasira zako, huenda hata ujinga uliono utapungua.
 
Utaratibu wa kulipia tangazo huku ukoje?maana na mimi nataka kuweka langu muda c mrefu
 
Ebu wekeza mkuu ili kesho uishi kama mfalume,najua unapata misimbazi kadhaa ukiongeza na hicho kijohn walker chako basi unahisi umeyapatia ila ukweli ni kuwa unayumba,

Utakuja kuumia sana zikitoweka maana utajutia na kuzikumbuka,maana maisha yanabadilika mkuu,pia kumbuka K haina shukrani zaidi ni kukutia hasara +maradhi ,,

Mwisho tegemea na kukisikiliza kichwa chenye nywele ,hicho cha chini usikiendekeze,maana kikisha kuponza kinabaki kukucheka huko kwenye boksa
 

Ninajitahidi ku invest Mkuu, sema hii ishu inakujaga tu. Namshukuru Mungu si haba Mungu amenijalia vi ofisi kadhaa siwezi kufuru ila natamani kuishinda hii hali
 
HEBU NIAMBIE KWANZA

UKIKAA MUDA MREFU BILA KULANA NA WIFE WAKO BADO ILE HALI YA KUTAKA NYAMA NYINGINE INAKUJA KATIKA KIWANGO GANI

USHAURI MWINGINE KABLA YA JIBU HAPO JUU FANYA KILA UNAPOTONGOZA WAAMBIE UKWELI UMEOA
 

Ukiwa na Hela na pia muda ukawa nao,
Na pia ukawa kijana hasa makamo hayo.

Pepo unalo kweli,
Sali na tuliza akili . Utabadilika
 
HEBU NIAMBIE KWANZA

UKIKAA MUDA MREFU BILA KULANA NA WIFE WAKO BADO ILE HALI YA KUTAKA NYAMA NYINGINE INAKUJA KATIKA KIWANGO GANI

USHAURI MWINGINE KABLA YA JIBU HAPO JUU FANYA KILA UNAPOTONGOZA WAAMBIE UKWELI UMEOA

Tusipo kulana kwa muda sana urge ya kufanya inakuwa ni kubwa sana yaani hapo naweza nunua malaya Kabisa. Nimehangaika sana ila kununua malaya nafanyaga nikiwa Nje ya eneo au niko mbali na waifu. Wife ananijali na anajua wajibu wake na mimi najaribu kutafuta namna niiahinde hii hali nisimuumize huyu Mwanamke wangu..! Huenda akawa ndio Mke ambaye niliyepangiwa na Muumba sasa nikimpoteza inakuwa Hasara kubwa.!
 
mkuu unazijua papuchi vizuri wewe?

Mzee kuna raia zina akili kama ya Govi asee.! Yaani mtu nimeleta maada nikiwa nahitaji msaada wa Mawazo ili nitoke kwenye utumwa wa Pepo la Ngono alfu kuna jitu linasema sijui Great thinker sijui wamefanyaje ... Yaani ni watu wengine bhana i wish to punch them on their nose .!
Tuachane na hayo, ila hii ishu ni ngumu acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…