Sema Nina hamu na gono, kaswende, fangus, Ukimwi, na mengine. Acha kusingizia pepo wa watu
Kabla sijaanza kusomesha nilikula zaidi ya papuchi 43 kuanzia za kununua mpaka za kutongoza, mpaka nikajiogopa. Toka nianze miradi, kusomesha na Loan board kunikata sasa hivi papuchi Sina mzuka nazo kabisa.
Jiweke bize na uwekezaji
Hunizidi mimi hata Nusu ila nimeweza kujicontrol sasa, Kuna member mmoja kapita hapo juu, kasema kujiweka Busy na kuongeza mitikasi kutakusaidia sana kuepukana na hiyo mitihani, muda Kichwa cha mwanamke kikiwa hakina jambo kichwani hakuna cha kuwaza zaidi ya chini
Uzinzi tu
Kama hukupitia haya mambo ukiwa na 18 mpk 23, usitegemee kutullia nA NDOA YAKO ina maana saivi ndio umejua papuchi utamu wake ukiwa huru sasa.
Akilli zako zinayumbishwa unatakiwa ukazeee hayo ni mambo ya kawaida .
Habari za mchana huu wakubwa, Poleni kwa misiba na Mihangaiko ya maisha ya kila siku!
Eeeh bhana, hebu Ngoja nielekee kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni kijana wa Miaka 25+ nina Mke naishi naye. Eeeh bhana, Mke wangu ananipa utamu na anajitahidi sana kunijali kimwili. Hapa leo tuna mfululizo leo siku ya nne Napiga game usiku na asubuhi kila siku na show yenyewe ni nzuri mpaka kuna wakati anasema anahisi Moto unawaka kunako!
Ila nikitoka hapo asubuhi nikiingia kwenye mihangaiko ya hapa na pale, najikuta navutiwa kimapenzi na mwanamke atakaye pita mbele yangu hasa hasa awe na kamwili fulani kana nyama ila sio kitambi sana (Wakuu naamini mmenielewa) na Chura [emoji39][emoji39][emoji39] yaani naanza kuomba namba na bahati mbaya au nzuri nina ki Baby walker Changu wanawake hawachomoki yaani nikutekenya tu anakuambia sawa wewe tu ukiwa na nafasi niambie[emoji1].
Sasa leo mchana huu nimekaa nina waza sana, na hii imekuja baada ya kuongea na demu mmoja hivi anafanya kazi kwenye Fahari huduma fulani anaelekea ku tick [emoji736] ila nimemwambia sijaoa. Ila najiona kama ninamkosea huyu mke wangu..! Anajitahidi sana kunihudumia yaani kuna wakati nakuwa najiuliza hivi hii haki kweli ?? Na hapo nimecheza mechi kama mbili za ugenini [emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Nahisi nina Pepo la Ngono aseee..! Wanaume wenzangu ambao mmeoa mnawezaje kuzikabili hizi changamoto. Hebu jaribu ku share uzoefu wako.! Najiskia vibaya kumfanyia haya huyu mwanamke wangu ila ndio hivyo najikuta nimetongoza mtu ila baadae ndio haya mawazo yabakuja.! [emoji41]
Akili yangu kama imejaa Hamu ya Mwanamke kila wakati daah [emoji31][emoji31]
Kila jambo ni mtihani aidha ufaulu(ushukuru) ama ufeli(ukufuru)..
Jitathimini unafaulu ama unafeli..
Mimi nilikuwa kitombi labda zaidi ya ww, asikatishe mwali.. Addicted haswa wa ngono, Lakini baada ya kujifikiri vizuri, tathmini ya kutosha , kujiuliza KWANINI(WHY?) Nikachukua maamuxi magumu
Alhamdulillah, sasa makali yameisha kwa kiasi kikubwa,
Naelekea kuoa kabisa kuukata huu mzizi wa fitna..
Tamaa tumeumbiwa, tamaa ni tamaa tu, iwe ya ngono, pesa n.k, ukiendekeza tamaa utakwama sehemu tu.
Pepo la ngono lina jinsia mbili
Achana na jini mahaba nazungumzia pepo...jini mahaba hutulizana sehemu moja na kwa sehemu kubwa jinsia yake ni kiumeni...kamwe huwezi kukuta jini mahaba lina pepo la ngono... Jini mahaba linachukia uchafu, linachukia jhanaba, linapenda sana usafi, halipendi kuchanganya ama kuchangia penzi na...www.jamiiforums.com
Amin, ndugu yangu.Hongera sana Mkuu, ni changamoto sana hayo mambo wazee ..! Na pia Nikutakie kila lenye kheri kwenye Nikaa yako na ndoa Pia.
Mkuu hicho ni kipawa ulichopewa na mwenyezi mungu wengine tushatumia mamilioni kutafuta hicho unachokiita pepo na daima tambua mwili ndo huongoza akili niliwahi kuona mtu anakunywa maji ya chooni tena machafu sana ambayo watu hutumia hadi kujisafisha baada ya kukata gogo kwa sababu tu mwili una kiu unahitaji maji ni lazima tu utakunywaHabari za mchana huu wakubwa, Poleni kwa misiba na Mihangaiko ya maisha ya kila siku!
Eeeh bhana, hebu Ngoja nielekee kwenye mada moja kwa moja. Mimi ni kijana wa Miaka 25+ nina Mke naishi naye. Eeeh bhana, Mke wangu ananipa utamu na anajitahidi sana kunijali kimwili. Hapa leo tuna mfululizo leo siku ya nne Napiga game usiku na asubuhi kila siku na show yenyewe ni nzuri mpaka kuna wakati anasema anahisi Moto unawaka kunako!
Ila nikitoka hapo asubuhi nikiingia kwenye mihangaiko ya hapa na pale, najikuta navutiwa kimapenzi na mwanamke atakaye pita mbele yangu hasa hasa awe na kamwili fulani kana nyama ila sio kitambi sana (Wakuu naamini mmenielewa) na Chura [emoji39][emoji39][emoji39] yaani naanza kuomba namba na bahati mbaya au nzuri nina ki Baby walker Changu wanawake hawachomoki yaani nikutekenya tu anakuambia sawa wewe tu ukiwa na nafasi niambie[emoji1].
Sasa leo mchana huu nimekaa nina waza sana, na hii imekuja baada ya kuongea na demu mmoja hivi anafanya kazi kwenye Fahari huduma fulani anaelekea ku tick [emoji736] ila nimemwambia sijaoa. Ila najiona kama ninamkosea huyu mke wangu..! Anajitahidi sana kunihudumia yaani kuna wakati nakuwa najiuliza hivi hii haki kweli ?? Na hapo nimecheza mechi kama mbili za ugenini [emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Nahisi nina Pepo la Ngono aseee..! Wanaume wenzangu ambao mmeoa mnawezaje kuzikabili hizi changamoto. Hebu jaribu ku share uzoefu wako.! Najiskia vibaya kumfanyia haya huyu mwanamke wangu ila ndio hivyo najikuta nimetongoza mtu ila baadae ndio haya mawazo yabakuja.! [emoji41]
Akili yangu kama imejaa Hamu ya Mwanamke kila wakati daah [emoji31][emoji31]
Huo ni utumwa, njoo kwa Yesu akuweke huru.Nimekuelewa Mkuu.! Japo hii ishu imeanza juz juzi mwanzo haikuwa hivyo