Wakuu, nahisi nina pepo la ngono


Daaah .! Huyo mwenzangu mwili wake ulikuwa unamtuma vibaya.!
 
Unawaza ngono mda wote hivyo ni sahihi mangono ngono kukufuata

Badilika anza kuwaza kuingiza pesa flani ambayo huna kwa mwaka ili akili iamie huko
 
BRO NAKUSHAURI UENDELEE! HILO PEPO UKIACHA TUU UNAANZA KUWASHWA MATAKO..! AU KOMAA MBAKA UPATE GONO AU KASWENDE KILE KIPINDI CHA MATIBABU USAHA UNATOKA NA MAUMIVU MAKALI WE ANZA KUFANYA IBADA! HAPO PEPO LITAKUACHA.. 🥴
 
Huna pepo wala nn
It's natural.
Kwa umri wako huo
Na vijipesa ulivyonavyo
Na kwa mji unaoishi
Na kwa kutokua mcha Mungu
Na kwa kutokua na majukumu mengi

Hiyo tabia ndo fahari ya ujana. Ila kuwa mwangalifu coz wewe ni miongoni mwa vijana wengi wa ki Tz ambao hupata fursa hizo katika umri Kama wako.

Changamoto huwa ni ku mantain fahari hiyo. Wengi wese ukata mapema na kubakiza tu story .

Jitahidi kubalance tamaa za mwili na ongeza sense ya uwajibikaji na kumcha Mungu . Utafurahia zawadi ya uhai.
 
HAUNA PEPO LA NGONO ILA HAUNA CHA MAANA SANA AMBACHO KITAHITAJI MATUMIZI YA NGUVU ZA AKILI NA MWILI KWA KIASI KIKUBWA MORE THAN 75%. AKILI YAKO HAINA INACHO FOCUS SANA, UMEIWEKA HURU KUFIKIRIA NGONO. KWA HIYO UNATUMIA NAFASI INAYOACHWA WAZI NA AKILI YAKO KUTIMIZA HITAJI LA MWILI WAKO...I GET A POINT NI KWAMBA HATA SHOW UNAZOPIGA SIO ZILE ZA KUVUNJA REKODI ZA MAISHA YAKO AMBAPO UTASEMA I WILL NEVER FORGET.....FANYA JAMBO MOJA TU ILI AKILI YAKO IWEZE KUWA NA FOCUS, MAANA HAPO ILIPO IMETAWANYIKA SANA. .............OGA MAJI CHUMVI.........HATA MWEZI MZIMA ASUBUHI NA JIONI......MAZOEZI YA MWILI NA KUPANGA RATIBA STAHIKI ZA UTENDAJI WA KILA SIKU ZITAKUSAIDIA............................MAENDELEO HAYANA CHAMA, MAPAMBANO BADO YANAENDELEA
 

Ahsante Mkuu
 

Nimekuelewa Mkuu
 
BRO NAKUSHAURI UENDELEE! HILO PEPO UKIACHA TUU UNAANZA KUWASHWA MATAKO..! AU KOMAA MBAKA UPATE GONO AU KASWENDE KILE KIPINDI CHA MATIBABU USAHA UNATOKA NA MAUMIVU MAKALI WE ANZA KUFANYA IBADA! HAPO PEPO LITAKUACHA.. [emoji3061]

We Mwanga nini ?? Yaani unaniombea niugue ? Fala sana we jamaa
 
Unawaza ngono mda wote hivyo ni sahihi mangono ngono kukufuata

Badilika anza kuwaza kuingiza pesa flani ambayo huna kwa mwaka ili akili iamie huko

Sawa Mkuu, Nita jitahidi kuwekeza nguvu zangu huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…