Wakuu naomba msaada na sitorudia tena

Dah umemtisha dogo....mwambie aanzie ushauri nasaha..tusije tukamkosa..
 

mkuu wahi hospital harka ugonjwa wa zinaa huo!
 
jamani nimetoka hospital na nimepewa dawa aina za CIPROFLOXACINE,asanteni kwa ushaur kama kuna cha kuongeza naomba muongeze wakuu
 
acha uwoga nenda hospitali fasta halafu ukipona usirudie kufanya ngono bila kinga

Angalia usipatwe na PANGUSA ikakipangusa kichwa chote cha uume halafu ukaanza kuchezea timu pinzani

Duh we akili yako unaijua mwenyewe lol!!
 
Dogo ingia pharmacy fasta kanunue dawa inaitwa AZUMA inauzwa around 10,000 kwa dozi hospitali za kibongo watakuzingua alafu uache zinaa dogo....na huyo demu wako mpige chini maana sio mwaminifu
 
Huo usaha unaotoka wamekumbia ni uti??? Labda hujawaambia dalili zote, au umeenda hospitali mbofu. Msichana wako kapewa dawa gani ?



kaka nimeenda nimepewa dawa aina ya CIPROFLOXACINE ambayo ni ya U.T.I
 
Ugonjwa wa zinaa huo pima na lile gonjwa kubwa lile
 
kapime haraka ili upate tiba sahihi ila kumbuka kinga ni muhimu. bios talks
 
Anyway usijione wewe una tatizo kuna watu wana matatizo kuliko wewe kule temeke kuna watu wamekuwa super glue
 
Dogo Cipro haitokutoa majangani wewe na demu wako mana umekaa na hilo Gono kwa muda mrefu,ongezea Caps Doxycycline 100mg twice a day kwa 7 days.(Hii ni kwa wote na msiduu kwa 10 to 14 days mpk mpone kabisa)
 
Hilo ni gono mdogo wangu nendeni mkapate tiba mapema.
 
 
nashkur kwa ushauri wenu wakuu,mungu anasaidia naendelea na tiba.
 
Pole sana mdogo wangu kuwa makini gono hilo mtafute mwenzako naye mpeleke hosptali.
 
mwambie muende hospitalini,maana ukiogopa kumwambia ukaenda mwenyw,af ukarudia sex nae utapata tena ilo tatizo,nenda nae mkatibiwe pia muwe mna tumia kinga maana hapo lazma mmoja kamuambukiza mwenzie,na mnaonekana hamna muda mrefu,so kueni waaminifu na kutumia kinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…