Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Pole mkuu ila najua watu wanaopenda hizo mambo sio ma great thinkers
Huwezi kuwa great thinker alafu upende ma likes. We andika thread yako ya maana wataolike poa watakaochangia sawa tu atakae kaa kimya sawa ujumbe utakuwa umemfikia.
Usipende ma likes asee. Hayo waachie watoto wa sec school hata haziongezi kitu kwa pochi yako
Huwezi kuwa great thinker alafu upende ma likes. We andika thread yako ya maana wataolike poa watakaochangia sawa tu atakae kaa kimya sawa ujumbe utakuwa umemfikia.
Usipende ma likes asee. Hayo waachie watoto wa sec school hata haziongezi kitu kwa pochi yako