Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Pole mkuu ila najua watu wanaopenda hizo mambo sio ma great thinkers

Huwezi kuwa great thinker alafu upende ma likes. We andika thread yako ya maana wataolike poa watakaochangia sawa tu atakae kaa kimya sawa ujumbe utakuwa umemfikia.

Usipende ma likes asee. Hayo waachie watoto wa sec school hata haziongezi kitu kwa pochi yako
 
Kwel mkuu umenena humu jf ubaguzi mtupu hata mm nimeona bas tena kutoa nyuzi
Una miaka 2 hapa JF halafu unasema kuna ubaguzi? Usipokuwa mchangamfu na mwepesi kuzoeana na watu kwenye comment lazima udhanie hivyo.

JF ni nzuri sana aisee.

Hapo tatizo sio wengine mnaowalalamikia, tatizo ni ninyi mnaolalamika.
 
CHADEMA kwanza utumbo mwingine baadaye!
 
Daah kweli watu tunatofautiana, yani unalilia watu wa like uziwako!!

Hamia Facebook utamaliza ukata wa comments na like.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…