Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Mh! Kwa mjina huo sahau 100 replies
 
Serikali ya kiki na raia wa kiki, Hii sababj ya kuaga inachekesha kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwani ulivyokuja ulikaribishwa? Sepa kimya kimya mkuu. Ukitaka misifa humu watu hawana habari
 
Sasa mbona hii wamekomene na like tumekupa?
Ukipata likes nyingi unapata pesa?au zinakufanyia nini hehee
Napata raha ndani ya roho mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Karibu mkuu barikiwa sana!
 
Umekuwa star tayari nimepita sehemu fulani nikasikia wanakusema eti umemzidi hamo rapa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Wewe sepa tu huna haja ya kuaga maana ulipotaka kujiunga ukutushirikisha maana ndo kwanza Nakuona leo. Jf still viva forever
 
Serikali ya kiki na raia wa kiki, Hii sababj ya kuaga inachekesha kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwani ulivyokuja ulikaribishwa? Sepa kimya kimya mkuu. Ukitaka misifa humu watu hawana habari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tangu niingie humu, nilikuwa sijapata like wala comments zako leo nimepata, mungu mkubwa aiseee, barikiwa sana mkuu.
 
Serikali ya kiki na raia wa kiki, Hii sababj ya kuaga inachekesha kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kwani ulivyokuja ulikaribishwa? Sepa kimya kimya mkuu. Ukitaka misifa humu watu hawana habari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tangu niingie humu, nilikuwa sijapata like wala comments zako leo nimepata, mungu mkubwa aiseee, barikiwa sana mkuu.
 
Umekuwa star tayari nimepita sehemu fulani nikasikia wanakusema eti umemzidi hamo rapa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Pilipili ya mupesa Bamutu bakelepota penyewe punyafu timu puturu inafanya kazi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Na wewe nae ushakuwa mkongo, mngoni wa songea [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mungu akubariki mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…