Nikutie moyo, ikiwa bado hujaondoka.
Kama sababu ya kukufanya uondoke humu ni watu kuto like na ku-comment kwenhe nyuzi zako ambazo una uhakika kabisa kuwa ni zenye mashiko na mvuto.
Usijali kanisa ikiwa hawa comment ama ku like!
Wanadamu wengi wanapenda vitu ambavyo havina maana, na wachache wanapenda vyenye maana.
Unachokiandika kama kima mashiko na mvuto, usiache kukiandika kwa sababu kumbuka kwamba, kuna kundi la watu wachache wanaopenda vyenye maana zinawafaidisha na kuwaongezea maana maishani mwao.
Usiache kupost, kwa sababu ya wingi wa audience unayoipata. Wewe post bila kukoma.