Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Nikutie moyo, ikiwa bado hujaondoka.

Kama sababu ya kukufanya uondoke humu ni watu kuto like na ku-comment kwenhe nyuzi zako ambazo una uhakika kabisa kuwa ni zenye mashiko na mvuto.

Usijali kanisa ikiwa hawa comment ama ku like!

Wanadamu wengi wanapenda vitu ambavyo havina maana, na wachache wanapenda vyenye maana.

Unachokiandika kama kima mashiko na mvuto, usiache kukiandika kwa sababu kumbuka kwamba, kuna kundi la watu wachache wanaopenda vyenye maana zinawafaidisha na kuwaongezea maana maishani mwao.

Usiache kupost, kwa sababu ya wingi wa audience unayoipata. Wewe post bila kukoma.
 
Nikutie moyo, ikiwa bado hujaondoka.

Kama sababu ya kukufanya uondoke humu ni watu kuto like na ku-comment kwenhe nyuzi zako ambazo una uhakika kabisa kuwa ni zenye mashiko na mvuto.

Usijali kanisa ikiwa hawa comment ama ku like!

Wanadamu wengi wanapenda vitu ambavyo havina maana, na wachache wanapenda vyenye maana.

Unachokiandika kama kima mashiko na mvuto, usiache kukiandika kwa sababu kumbuka kwamba, kuna kundi la watu wachache wanaopenda vyenye maana zinawafaidisha na kuwaongezea maana maishani mwao.

Usiache kupost, kwa sababu ya wingi wa audience unayoipata. Wewe post bila kukoma.
Ahsante kwa maoni na ushauri mkuu, ubarikiwe sana, na mimi bado nipo, sana mkuu wangu.
 
Ww huna jipya zaidi ya kutaka Comments na Malikes Anywayz chukua hii FWALA ww
 
Mh! Ni kama vile kuna kitu unakihisi humu ila huwezi kufunguka! Ok, tell us something, unadhani wanaokuhujumu au kutokutendea haki ni MODS au MEMBERS wenzio?

Kama unadhani ni MODS it's fine ila kama unadhani ni MEMBERS wenzio, basi wewe ndio utakuwa kwenye wrong way! Maana members wa humu ni RANDOMIZED! Ndio maana waweza kuta unabishana/kutofautiana hata na Wakwe zako!
 
Mh! Ni kama vile kuna kitu unakihisi humu ila huwezi kufunguka! Ok, tell us something, unadhani wanaokuhujumu au kutokutendea haki ni MODS au MEMBERS wenzio?

Kama unadhani ni MODS it's fine ila kama unadhani ni MEMBERS wenzio, basi wewe ndio utakuwa kwenye wrong way! Maana members wa humu ni RANDOMIZED! Ndio maana waweza kuta unabishana/kutofautiana hata na Wakwe zako!
Na wewe nae ubarikiwe na baba muumba, kwa ku comments.
 
Ww huna jipya zaidi ya kutaka Comments na Malikes Anywayz chukua hii FWALA ww
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hila Nkwakidudu: FWALA menyewe bhana.
 
e3bf739a4f36d7e4cc279405683745f8.jpg
e442cbd8d7a0ed9ee03dc78e531df644.jpg
5070413c77961d1c8307a21b5c0cdfeb.jpg
949d7c39f721a899cb4610cc763cba89.jpg
85c3509ed5ca0be95e737bba602d4c9d.jpg
ed9dc7dee494d5bfb562b6f98c3580f2.jpg
da6b2f067b13bf30ff3334c498aaa784.jpg
47827ea04d77656d2b0e281a5f6fbdc1.jpg
0d595fb86694e03118f2ac41c5ed79cd.jpg
43bb9a8411140d6dec4713c4dd96c43e.jpg
cb2abf007021277f6321ed61c8544406.jpg
f167c1b3e4c1512a3bd1598416681820.jpg
532efe7c17b9b8916c869bf5e7861a18.jpg
4cc85a602e574f7e581dfe096f129b4b.jpg
c7859e9b57f46d50f148bbd33c57748d.jpg
 
Wacha nikomenti kumuaminisha mleta thread kuwa tupo pamoja kiroho
 
Mmmh kumbe MTU ukishusha Uzi huwa una matumaini makubwa ya kupewa likes na comments?????? Mimi sijawahi kutupia Uzi wowote humu huwa nalike na kukoment kwenye nyuzi za wengine tu na najisikia poa.
 
Hizi Kiki nyingine balaa jamaa amekuja analialia oooh naondoka Sasa hivi kila comment anachekelea tu.
 
Mmmh kumbe MTU ukishusha Uzi huwa una matumaini makubwa ya kupewa likes na comments?????? Mimi sijawahi kutupia Uzi wowote humu huwa nalike na kukoment kwenye nyuzi za wengine tu na najisikia poa.
Kiroho safi mkuu, mungu akubariki sana.
 
Back
Top Bottom