Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Humu ukitaka. Positive (biased)Comments. Msifie mbowe. Lisu Nassari. Lema. Na sasa Nape. Na Askofu Niwemugizi. Na negative. Msifie JPM. Makonda. Pengo nk. Hata wasipowaelewa kuna hoja wameshaziweka kichwani. Leo Mbunge hana Kazi humu. Ukitoa hoja. Utaskia Sio Kazi yake. Wakati. Anapoomba Kura ndo hoja hizo tunazowabania. So Heri upate moja usimamie ukweli mana one has always to look at a Half Fully Cup and not Half empty Cup if at all he or she wants to get somewhere.
Ohoooo [emoji23] [emoji23]
 
Kuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread...
Mkuu, huo ni wasi wasi wako. Ukichukua idadi ya likes ulizopata ukagawanya kwa michango yako unapata 0.748, which is greater than 0.5. Hii inaonesha kuwa michango yako ni bora na ina impact kwa jamii. Kadri unavyoendelea kuchangia mada na kutoa mada, idadi ya likes itaongezeka tu. Angalizo JF sio kama fb ambapo ukirushia picha unapata ma likes ya kumwaga...
Nakushauri uendelee kuwepo jukwaaani kwa kuwa idadi ya likes ukigawanya idadi ya michango yako inaonesha kuwa una michango yenye msaada kwa jamii...
 
Kuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Usijali mkuu, hapa jf ni kama bakheressa Kama usimpokunywa bidhaa zake utakula bidhaa zake. Najua utakuwa unarudi id mpya, maana jf ni kama kilevi vile!
 
Usijali mkuu, hapa jf ni kama bakheressa Kama usimpokunywa bidhaa zake utakula bidhaa zake. Najua utakuwa unarudi id mpya, maana jf ni kama kilevi vile!
Kasema ameahirisha mpango wa kutoka atabakia tu, hahahahahah
 
Huwaga nacomment ninachoona kinafaa, napost nikijiskia walike, wasilike, wacomment wasicoment huwaga siwazi.
 
Back
Top Bottom