Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

We jamaa bana.. Nakuvutia picha upoje ujue. Ebu tuma hata picha yako itakuongezea likes na comments
 
Jf, ukitaka upate comments na like leta nyuzi hizi.

Kukashifu dini za watu.

Kuleta uzi wa ki greater thinker (kuelimisha jamii)

Uzi wa kuleta habari ya jambo kubwa lilitokea nchini.

Lakini uzi usio na mashiko sio rahisi kupata comments nyingi hata huu uzi wako ni wakijinga lakini imebidi tu tu comment kukueleza yanayoweza kuwa mapungufu yako.

Binasfi wakati naaza kuingia humu nilikuwa na post uzi ilimladi uzi tu lakini baada ya kuwa greater thinker sasa sianzishi uzi hovyo hovyo tu. Ninapokuwa nahitaji kupata maarifa furani huwa na search nyuzi zilizomo humu.

Jf napachukulia kama sehemu ya kupata habari ya kinachoendelea duniani na pia elimu, na nikitoa uzi wa taarifa frani silengi kupata like na comments.
 
Kuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Ausifi=hausifi
Aufai=haufai
Auna=hauna
 
Kwani LIKES zinasaidia nini

Wanaoaotafuta malike ni watoto wa O level
 
86bdab398e44017042d5c9cdf9d4314d.jpg
Wacha nitambe 😀 😀 😀 😀
 
Kuna kama ka Upendeleo cha ku comments na kutoa like kwenye nyuzi au thread kuna members wanatoa uzi wakati mwingine auna hata mvuto au mashiko lkn wanapeana like na comments za kutosha na za kumwaga, lkn wenzangu na sisi hata tutoe uzi wenye nzuri na wenye mashiko wanapita wanajifanya kama awauoni au mtu aki comments ausifii anatoka nje ya hoja na kukandia Uzi wako wakati mwingine na kashfa juu sasa Ubaguzi kama huu aufai kabisa sisi wote humu ni members mimi mbona huwa sichagui wala kuangalia nani alietoa Uzi nikiona yoyote humu kama katoa uzi nzuri na comments, sasa mkiniona kimya msishangae wakuu nitakuwa nimeondoka humu Jf muda wowote ule Nawasilsha: Angalizo sitaki povu...
Kweli jomba kuna ubaguzi wa kutosha tunakaa kigumu
 
Back
Top Bottom