Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Wakuu naomba niwaage humu Jf nimepashindwa kwa kweli

Hahaha hivi kumbe kuna watu wanakuja jf kuuza sura?
 
SIKUSHAURI kabisa uende huko kwingine.... SIKUSHAURI utoke JF, kuna maarifa mengi sana hapa.. Wala usikatishwe tamaa na kukosa pongezi... Komaa andika kila utakachoona kina tija kwenye jamii kuondoka JF ni sawa na kujikataa SIKUSHAURI tafadhali baki
Nimependa ushauri huu[emoji106] [emoji106]
 
Jamiiforums ni kituo cha elimu, habari, burudani na michezo
Kufikiria kijitoa hapa ni kudhulumu nafsi yako. Pambana na hali yako mpaka kieleweke
 
a34c86339019236c7a66fb86dd6901d0.jpg
d0383e6386b140b1501a973b35bbd34d.jpg
42a3fafe71930238b7b8b36473036eaa.jpg
47b83ae61fee950cfb428bb0d47e8797.jpg
a8978534cd92977c48c137b8b7f5a957.jpg
11dd661c1454532a63f097f99f6829e7.jpg[color=red]Karibuni kwanza msome magazeti ya leo.
 
Mkuu Abbasifarudume uzi wako umepokelewa vema sasa kiroho safi kabisa[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kuna faida yoyote ya kua maarufu sijui kujulikana Jamii forum, lol
siku umeamka wallet imenywea hao wafuasi wako wataitunisha kweli??

Aiseee umaarufu usio wa mafanikio kwangu NOOOOO.
 
Back
Top Bottom