Wakuu naomba ushauri wa bike nzuri na imara

Wakuu naomba ushauri wa bike nzuri na imara

Kachukue TVS Apache RTR160 HyperEdge mpya kabisa showroom ya TVS kwa 4.8M

Hiyi ndiyo pikipiki ninayoitumia. Nimeshapiga nayo ruti nyingi sana za mkoani, kubwa kabisa ikiwa Dar to Dodoma & return immediatelykama Shabiby. 900+km nimetoka saa 12 saa 6½ niko Dom nikafanya yangu nikapata lunch then saa 7 ushee nikageuka, saa 2 usiku nimeingia home DSM before dinner.

Forget 90kmph. Hii iko stable mpaka 120kmph, roho yako tu.

Ndani ya miaka 2½ niliyoimiliki nimeongeza 35,000km kwenye odometer, most of the along Dar - Mbeya road na Dar - Dom road.

Uliza chochote kuhusu hii bike ujibiwe.
 
Kachukue TVS Apache RTR160 HyperEdge mpya kabisa showroom ya TVS kwa 4.8M

Hiyi ndiyo pikipiki ninayoitumia. Nimeshapiga nayo ruti nyingi sana za mkoani, kubwa kabisa ikiwa Dar to Dodoma & return immediatelykama Shabiby. 900+km nimetoka saa 12 saa 6½ niko Dom nikafanya yangu nikapata lunch then saa 7 ushee nikageuka, saa 2 usiku nimeingia home DSM before dinner.

Forget 90kmph. Hii iko stable mpaka 120kmph, roho yako tu.

Ndani ya miaka 2½ niliyoimiliki nimeongeza 35,000km kwenye odometer, most of the along Dar - Mbeya road na Dar - Dom road.

Uliza chochote kuhusu hii bike ujibiwe.
Mkuu ahsante kwa kunipa experience yako. Watu walinishauri kuwa pikipiki za India nyingi hazina nguvu ya kutosha na ni rahisi ku mess up.
Japo Nina tvs ndogo 150x haina shida Ila naona kama haina energy ya kutosha.

Vipi hiyo machine yako RTR 160 hujawahi kupata mess up yoyote njiani na una muda gani tangu kuinunua?
 
Mkuu ahsante kwa kunipa experience yako. Watu walinishauri kuwa pikipiki za India nyingi hazina nguvu ya kutosha na ni rahisi ku mess up.
Japo Nina tvs ndogo 150x haina shida Ila naona kama haina energy ya kutosha.

Vipi hiyo machine yako RTR 160 hujawahi kupata mess up yoyote njiani na una muda gani tangu kuinunua?
Soma post. Nina miaka 2½ nayo. Niliinunua mkononi mwa mtu aliyeimiliki kwa miaka 2 pia.

Hao waliokushauri wamezimiliki au wameishia kuendesha Boxer na TVS HLX za kawaida?

Niliwahi kupata mess up mbili both related tu carburetor kuingia maji au uchafu. Ya kwanza sikung'amua tatizo in time kwahiyo nikaenda nayo kwa low speed <50kmph mpaka home, kesho yake imeamka bila shida ndio fundi akaniambia ni maji kwenye mafuta.

Second time niligundua nikapeleka kwa fundi nilikuwa mitaa ya Ruaha Mbuyuni pale, akaifungua na kusafisha carburetor then nikapuliza nayo non stop mpaka Dar.
 
Soma post. Nina miaka 2½ nayo. Niliinunua mkononi mwa mtu aliyeimiliki kwa miaka 2 pia.

Hao waliokushauri wamezimiliki au wameishia kuendesha Boxer na TVS HLX za kawaida?

Niliwahi kupata mess up mbili both related tu carburetor kuingia maji au uchafu. Ya kwanza sikung'amua tatizo in time kwahiyo nikaenda nayo kwa low speed
Second time niligundua nikapeleka kwa fundi nilikuwa mitaa ya Ruaha Mbuyuni pale, akaifungua na kusafisha carburetor then nikapuliza nayo non stop mpaka Dar.
Mkuu nakushukuru sana kunipa evidence yako na nimetoka kuiona utube aisee ni machine Imetulia.

Kama kwako ina 4.5 yrs na haina shida basi wapo vizuri Sana.

Acha nikauze Haka tvs hlx 150x then niongeze cash yangu nikavute hiyo machine.

Kwanza imenivutia Sana hata mwonekano wake uko kinyama zaidi

Ubarikiwe Sana mkuu
 
Mkuu nakushukuru sana kunipa evidence yako na nimetoka kuiona utube aisee ni machine Imetulia.

Kama kwako ina 4.5 yrs na haina shida basi wapo vizuri Sana.

Acha nikauze Haka tvs hlx 150x then niongeze cash yangu nikavute hiyo machine.

Kwanza imenivutia Sana hata mwonekano wake uko kinyama zaidi

Ubarikiwe Sana mkuu
Here she is, Iyovi on the way to Mafinga

20200529_173057.jpg
 
Mi naulizia yeyote anaejua ambapo watakua na BOXER BM 125.maana ni adimu mno sijui kwanini
 
Tafuta bike hizi
Honda Crf 125/150/250
Honda CBR
Kawasaki Kx 250/450
Yamaha Yz250
 
Minyama hii ni hatari kwa afya yako.....nimeamua kumpa jamaa promo....kama jnanunua nenda mwenyewe arusha ukachague na kujaribu mwenyewe
View attachment 1461398View attachment 1461400View attachment 1461401View attachment 1461402View attachment 1461404View attachment 1461405View attachment 1461406
Mkuu hizo Honda XL/XLR 250 maarufu kama Baja zilipewa jina hilo la eneo la jangwani huko Mexico ambapo mashindano yalikuwa yanafanyika.

Pikipiki hizo ni matoleo ya zamani miaka ya 80/90 na teknolojia yake ni ya zamani. Nakushauri uchukue bike ya kisasa hata ikiwa ni mtumba.

Chukua Honda uzao wa Crf au Cbr. Kwa Crf zimeboreshwa kuanzia skeleton, uzito wa chombo,tanki,zinapozwa kwa maji (rejeta) na haitumii carburetor zina tumia fuel injection pump hizi ulaji wa mafuta ni mzuri na zina nguvu sana kwa wewe utouikamua mpaka mwisho.
 
Tafuta bike hizi
Honda Crf 125/150/250
Honda CBR
Kawasaki Kx 250/450
Yamaha Yz250
Nimeangalia kawasaki na yamaha ulizo weka duh!
Kweli kama ana hela hizo ndio pikipiki [emoji38][emoji38][emoji38] kama hana hela haojue is better than [emoji38][emoji38][emoji38] atakua ameelewa tu ili hiyo kawasaki dah!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Tafuta bike hizi
Honda Crf 125/150/250
Honda CBR
Kawasaki Kx 250/450
Yamaha Yz250
Mkuu hizi ni special kwa riding long kilometer hadi 800 km. Pia bei Zake nasikia mkasi Sana au kwa budget yangu ya 5M naweza Pata?
 
Back
Top Bottom