Wakuu naomba ushauri wa bike nzuri na imara

Wakuu naomba ushauri wa bike nzuri na imara

Dah aisee safi sana kitusanua, maana nusura nitumege ninunue kumbe hela inheendaga bure, alaf bela yenyewe ya mkopo....manina zake......kwa stair hii ntumie pikipiki za mchina tu
Oya mwanangu, ulinunua haojue gani?
 
Dah, yani bado kidogo anilize, nlitakaga kununua kwake nkagaili, nkanunua haojue.... Shenz zake ndo mana namba yake ya simu akitafutwa hapokeagi...pumbavu mshenz yule...milion zangu zilinusurika
Hebu niwekee jina analotumia insta
 
Hebu niwekee jina analotumia insta
Namba hiyo, jina hilo
Screenshot_20201028-103313.jpg


Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu poleni na majukumu ya utafutaji lakini pia nawatakia sikukuu njema na Familia zenu.

Wakuu Nina budget ya 4M hadi 5M nataka bike imara yenye uwezo wa kutembea long distance hadi 150 km with speed of 70kmph to 90kmph non stop.
Nimeangalia mtandaoni baadhi ya bike kama honda, Yamaha, haojue na suzuki karibu zote ni model za India na mm nataka ya Japan, naomba kuuliza honda, suzuki au yamaha from india ina ubora Sawa na ya Japan na pia utajuaje kama bike ni ya Japan?
Baadhi ya bike zimenivutia ni

Honda cb 125f
Suzuki gs 150r
Yamaha ybr 125
Hizi bike ni model za India na sijui kama ubora wake ni Sawa na zile made in Japan japo ni company moja.
Kwa budget yangu ya 4M hadi 5M naweza Pata bike nzuri kutoka Japan?

Nimewahi kuwa na tvs and boxer sikulizika na performance yake kwa mwendo wa muda mrefu na speed kubwa japo nazo ni bike nzuri tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ybr ni nzuri sana ila hizo safari naona kama ndefu sana , kwanini hiyo pesa usinunue honda shadow used
 
Tafuta Phoenix au Avon.
Swala ilikuwa zamani sasa hivi sio sana
 
00Z0Z_iWQNcYfd8t9_1200x900-762x456.jpg
my fav bike off all the time

Yamaha fz09 / mt09

847cc triple cylinder 114hp

Kwa makadirio mpya ina range kati ya 19milion to 20sth
 
Kama unataka bike nzuri za kijapani inabidi uzame Msumbiji au Uganda utapata bike nzuri kama Suzuki Gz250, Honda Cb kwa million 3. Nyingi ni air cooled utakuwa na uhakika wa safari popote.

Pia Gumtree ya South kuna bike wanazipiga minada kuanzia million 3, hizo nyingi ni Yamaha Yz 125/250 na Honda CRF 125/250.

Kama ukiwapata wazee wa bondeni wankuletea bike kali Kwa million 4 hapo utachagua iwe ya mchongo kutoka Kwa Mandela au halali iliyouzwa ila wao pia wanakusaidia kupata kazi na usajili ikija hapa Kwa Nyerere.
 
Back
Top Bottom