Wakuu naomba ushauri wa bike nzuri na imara

Wakuu naomba ushauri wa bike nzuri na imara

Machine appache rtr 180 bs6
tvs%20appache%20rtr%20180%20bs6.PNG
 
Back then wakati nanunua walikuwa na 160 tu.
Ok! Ila hii 180 ni kama haina kick mana nimeangalia specs Zake naona starter electric.
Hivi kama itakuwa haina kick si hatari zaidi battery ikianza kuzingua au terminal Zake kupata hitilafu.
Mkuu hii kwako unaionaje?
 
Ok! Ila hii 180 ni kama haina kick mana nimeangalia specs Zake naona starter electric.
Hivi kama itakuwa haina kick si hatari zaidi battery ikianza kuzingua au terminal Zake kupata hitilafu.
Mkuu hii kwako unaionaje?
Kweli ni jambo la kuwa nalo makini. Battery ikiwa depleted au kukiwa na tatizo la umeme (pikipiki yangu ina ishu ya umeme sasahivi btw so it happens) itabidi utoe battery ukaicharge, au u jump start battery, au uiwashe kwa kushtua.

In my experience miaka minne ya kwanza ya bike hutasikia tatizo la starter wala umeme. As long as battery ina nguvu, in my experience hata ukiiacha mwezi ukiigusa tu inawaka.

Sasahivi naona bike yangu (imezeeka lakini) ina ishu ya umeme but once traced and fixed ntaendelea kuipiga starter kama kawa.
 
Pia kama kuna ishu ya compression starter haitaweza kuiwasha. But all those come with age and a lot of use. Last week nimereplace valves, thats how I know.
 
But hiyo ni 160 manufactured 2015.

Sijui technology ya hzi current ones ina stand vipi the test of time, maybe they age with fewer problems because of improved technology.

There is a reason they removed the kick starter. Trust the engineers.
 
Kweli ni jambo la kuwa nalo makini. Battery ikiwa depleted au kukiwa na tatizo la umeme (pikipiki yangu ina ishu ya umeme sasahivi btw so it happens) itabidi utoe battery ukaicharge, au u jump start battery, au uiwashe kwa kushtua.

In my experience miaka minne ya kwanza ya bike hutasikia tatizo la starter wala umeme. As long as battery ina nguvu, in my experience hata ukiiacha mwezi ukiigusa tu inawaka.

Sasahivi naona bike yangu (imezeeka lakini) ina ishu ya umeme but once traced and fixed ntaendelea kuipiga starter kama kawa.
Ok! Nimecheki video moja utube wameionesha vizuri na nimeiona kick starter.
Mkuu hapa naona kama nachelewa kuichukua hii machine nimepanga kanunua September mwanzoni mana kuna mishe namalizia
 
Battery ikizingua replace it. Ni 30k tu. Sio big deal.
Ok! Mkuu Safi Sana kunipa experience yako.

Afu me namtazamo tofauti na wengine me napenda sana bike kuliko hata gari.
 
Ok! Mkuu Safi Sana kunipa experience yako.

Afu me namtazamo tofauti na wengine me napenda sana bike kuliko hata gari.
Pamoja mkuu. Personally kuendesha gari DSM naona adhabu tu. Labda usiku.

All the best kwenye mishe zako, ununue kifaa hicho uenjoy maisha.
 
Back
Top Bottom