Wakuu naombeni mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar, Nahitajika kuwa na vitambulisho gani?. Naenda kutafuta kazi.

Wakuu naombeni mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar, Nahitajika kuwa na vitambulisho gani?. Naenda kutafuta kazi.

Kool the gang

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2022
Posts
497
Reaction score
1,465
Wakuu baada kupambana hapa Tabora na kutokuona mwelekeo wowote maisha nimeamua niende Zanzibar. Sasa nimekuja hapa mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar nataka niende huko nikatafute KAZI ZA UJENZI. Pesa niliyonayo Kwasasa niliyosevu ya kunifikisha huko kutoka Tabora na matumizi mengineyo nitakapokuwa natafuta kazi ni laki 1 na nusu tu(Sina pesa nyingine). Tafadhari ushauri wenu wakuu.
 
Kama wewe ni raia wa kigeni wa Nchi ya Tanganyika unatakiwa kufanya yafuatavyo.1 kuwa na kitambulisho Cha nida na kama hauna nenda Kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wako akuandikie barua kukutambua kuwa anakufahamu.Tofauti na hapo utafungwa nje ya Nchi iitwayo zanzibar
 
jinsi ya kuingia Zanzibar
1)Nauli hii unayo.

2)Vitambulisho kati ya hivi :

(a) Nida

(b) Mpiga kura

(c)Barua ya utambulisho kama hauna a na b

Kazi ni ngumu kupata ila shughuli za kufanya zipo na zinapatikana zaidi mashambani huko ndiko ujenzi wa mahotel hufanyika na unaendelea kufanyika!

Ukifika tembelea maeneo haya kama unatafuta vibarua na siyo kazi:

1)Nungwi

2)Paje

3)Kiwengwa

4)Mjini

5)Pemba

Malipo

a)Fundi:Tsh 30000-50000 kwa siku

b)Kibarua :Tsh 15000-20000 kwa siku

Malazi:

Chumba: Tsh 30000-100000 kwa mwezi.

Chakula:

Tsh 200- mpaka utakapo fika kikomo cha mfuko wako!

Hii ni kwa uzoefu wangu!
 
Wakuu baada kupambana hapa Tabora na kutokuona mwelekeo wowote maisha nimeamua niende Zanzibar. Sasa nimekuja hapa mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar nataka niende huko nikatafute KAZI ZA UJENZI. Pesa niliyonayo Kwasasa niliyosevu ya kunifikisha huko kutoka Tabora na matumizi mengineyo nitakapokuwa natafuta kazi ni laki 1 na nusu tu(Sina pesa nyingine). Tafadhari ushauri wenu wakuu.
Unaenda lini mkuu mana mm pia naenda huko December 31 na boti ya usiku. Andaa Nida au barua ya kutambuliwa na serikali ya mtaa
 
Una mwenyeji Zanzibar? Maisha ya Zenji yapo juu kuanzia chakula hadi Malazi hivyo kama huna mwenyeji uwe na pesa ya kutosha ya kujikimu.
Ili usafiri unatakiwa kuwa na kitambulisho cha kiserikali mfano, cha Nida, Cha kura, leseni n.k. Nauli ni Tsh. 35,000/=
 
Kama wewe ni raia wa kigeni wa Nchi ya Tanganyika unatakiwa kufanya yafuatavyo.1 kuwa na kitambulisho Cha nida na kama hauna nenda Kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wako akuandikie barua kukutambua kuwa anakufahamu.Tofauti na hapo utafungwa nje ya Nchi iitwayo zanzibar
Nenda Ni Nauli Na Kitambulisho
Chochote Hasa NIDA, Leseni,Mpiga Kura Unakata Ticket Unazama Mji Mkongwe (Pearl Of Stone Town)
Nida ,lesen mpiga kura au pasport
Shukrani kwa muongozo wakuu.
 
1)Nauli hii unayo.

2)Vitambulisho kati ya hivi :

(a) Nida

(b) Mpiga kura

(c)Barua ya utambulisho kama hauna a na b

Kazi ni ngumu kupata ila shughuli za kufanya zipo na zinapatikana zaidi mashambani huko ndiko ujenzi wa mahotel hufanyika na unaendelea kufanyika!

Ukifika tembelea maeneo haya kama unatafuta vibarua na siyo kazi:

1)Nungwi

2)Paje

3)Kiwengwa

4)Mjini

5)Pemba

Malipo

a)Fundi:Tsh 30000-50000 kwa siku

b)Kibarua :Tsh 15000-20000 kwa siku

Malazi:

Chumba: Tsh 30000-100000 kwa mwezi.

Chakula:

Tsh 200- mpaka utakapo fika kikomo cha mfuko wako!

Hii ni kwa uzoefu wangu!
Aminia sana mkuu kwa huu muongozo 🙏🏾🙏🏾.
 
Una mwenyeji Zanzibar? Maisha ya Zenji yapo juu kuanzia chakula hadi Malazi hivyo kama huna mwenyeji uwe na pesa ya kutosha ya kujikimu.
Ili usafiri unatakiwa kuwa na kitambulisho cha kiserikali mfano, cha Nida, Cha kura, leseni n.k. Nauli ni Tsh. 35,000/=
Niwe mkweli sina mwenyeji mkuu ila kama nilivyoandika pale juu nina laki Moja na nusu tu pengine nikikopa na M Pawa hapa nitafikisha laki Mbili. Ndiyo pesa nayoitegemea.
 
Hela yako ni ndogo kama huna mwenyeji kule.

Ukibahatika kufika huko tegemea kupata kaubaguzi kiasi kutoka kwa wazanzibari wenyewe kwa kuwa wewe ni mtanganyika. Upatapo hela lenga kilichokupeleka maana kuna starehe sana.

Kama kakizungu kapo kwenye ulimi, waweza jipatia mtasha na historia yako ikabadilika. Kila la heri.
 
1)Nauli hii unayo.

2)Vitambulisho kati ya hivi :

(a) Nida

(b) Mpiga kura

(c)Barua ya utambulisho kama hauna a na b

Kazi ni ngumu kupata ila shughuli za kufanya zipo na zinapatikana zaidi mashambani huko ndiko ujenzi wa mahotel hufanyika na unaendelea kufanyika!

Ukifika tembelea maeneo haya kama unatafuta vibarua na siyo kazi:

1)Nungwi

2)Paje

3)Kiwengwa

4)Mjini

5)Pemba

Malipo

a)Fundi:Tsh 30000-50000 kwa siku

b)Kibarua :Tsh 15000-20000 kwa siku

Malazi:

Chumba: Tsh 30000-100000 kwa mwezi.

Chakula:

Tsh 200- mpaka utakapo fika kikomo cha mfuko wako!

Hii ni kwa uzoefu wangu!
Paje mpaka jambiani inajengwa sana kwa sasa
 
Back
Top Bottom