Wakuu naombeni mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar, Nahitajika kuwa na vitambulisho gani?. Naenda kutafuta kazi.

Wakuu naombeni mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar, Nahitajika kuwa na vitambulisho gani?. Naenda kutafuta kazi.

Wakuu baada kupambana hapa Tabora na kutokuona mwelekeo wowote maisha nimeamua niende Zanzibar. Sasa nimekuja hapa mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar nataka niende huko nikatafute KAZI ZA UJENZI. Pesa niliyonayo Kwasasa niliyosevu ya kunifikisha huko kutoka Tabora na matumizi mengineyo nitakapokuwa natafuta kazi ni laki 1 na nusu tu(Sina pesa nyingine). Tafadhari ushauri wenu wakuu.
Ndoto ya Kila Mtanganyika Kwa hivi Sasa ni kuingia Zanzibar hali hii isipodhibitiwa sijui hali ya Zanzibar itakuwaje baada miaka 10
Wenye dhamana waliangalie hili Kwa jicho la tatu kisiwa kinazama
 
Wakuu baada kupambana hapa Tabora na kutokuona mwelekeo wowote maisha nimeamua niende Zanzibar. Sasa nimekuja hapa mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar nataka niende huko nikatafute KAZI ZA UJENZI. Pesa niliyonayo Kwasasa niliyosevu ya kunifikisha huko kutoka Tabora na matumizi mengineyo nitakapokuwa natafuta kazi ni laki 1 na nusu tu(Sina pesa nyingine). Tafadhari ushauri wenu wakuu.
Una 150, kutoka tibiorah, mpaka mzizioma ni kama 70 to 80 elfu, kutoka mzizioma to nchi ya zedibari ni 35k , una tabu bro !
 
Mwenyeji sina ila nitakuwa na akiba ya kama laki 1 na Elfu 40. Haitanititosha bado nikiwa natafuta kazi?
Nikisema ni ndogo nitakuwa nakufariji tu, ukweli ni kuwa ni ndogo saaaana. Si tu kwa zanzibar ila kwa mji wowote unaweza kwenda ukiwa huna mwenyeji...

Kuhusu ubaguzi niliokueleza hapo awali, cheki hii comment kutoka kwa mzanzibari!! Kisha nenda ukiwa na tahadhari
 

Attachments

  • Screenshot_20241223-155846.jpg
    Screenshot_20241223-155846.jpg
    206.8 KB · Views: 12
Nadhani Zanzibar Kuna kazi nyingi za ujenzi kuliko Dodoma. Tangu juzi naona Rais Mwinyi kila siku anaweka majiwe ya msingi kwa ajili ya ujenzi mpya.
Mh 😄 zanzibar kuna kazi zipi kushinda Dodoma.
Hakuna mkoa wenye ujenzi mwingi kushinda Dodoma kwa sasa kila sekta unayojua wewe inafanya ujenzi huko dodoma kwasababu bado majengo yaliyopo hayajakidhi mahitaji, wahamiaji ni wengi kuliko uwezo wa majengo ya mji kuwahifadhi
 
Mh 😄 zanzibar kuna kazi zipi kushinda Dodoma.
Hakuna mkoa wenye ujenzi mwingi kushinda Dodoma kwa sasa kila sekta unayojua wewe inafanya ujenzi huko dodoma kwasababu bado majengo yaliyopo hayajakidhi mahitaji, wahamiaji ni wengi kuliko uwezo wa majengo ya mji kuwahifadhi
Inabidi umtajie na maeneo mkuu aanzie wapi na aishie wapi kama walivyotoa maelezo wengine.
 
Wakuu baada kupambana hapa Tabora na kutokuona mwelekeo wowote maisha nimeamua niende Zanzibar. Sasa nimekuja hapa mnipe muongozo jinsi ya kuingia Zanzibar nataka niende huko nikatafute KAZI ZA UJENZI. Pesa niliyonayo Kwasasa niliyosevu ya kunifikisha huko kutoka Tabora na matumizi mengineyo nitakapokuwa natafuta kazi ni laki 1 na nusu tu(Sina pesa nyingine). Tafadhari ushauri wenu wakuu.
Kule ni kitambulisho cha Nida tu
Uzuri raia wa ile nchi ni wakarimu sana hasa ukiwa mgeni kutoka bara
Yaani ukifika tu pale kila kitu unakuwa ushalipiwa!
 
Kama una ujuzi wa kutengeneza vidudedude vya kienyeji kama Ngoma, vikapu, kofia za matawi n.k, ni faida ya ziada.

Vijana wa Zanzibar wengine wanaishi kwa kuungaunga tu kwa vitu vidogo kama hivyo.
 
(Blueprint)

Kuingia Zanzibar
Unahitaji kuwa na kitambulisho , NIDA vote ID , reseni n.k

Sehemu pakufikia , Kama wewe ni muislam Ila hauna pakufikia jitahidi upande boti ya Ahsubui then ukifika tafuta msikiti wowote kuanzia hapo forodhani waambie hilo swala lako.

Kuwa hauna pakulala Ila unafatilia fursa katika miradi ya ujenzi.

Hawa jamaa wanajiita wazanzibari wana roho nzuri Sana hawana ubaguzi wowote .

Kuhusu kula
Kulala ukifika Zanzibar usiwaze kale kanchi kamebarikiwa watu wakarimu na wenye UPENDO .

Jitahidi uwe na maadili zile tabia za kibongo za kugoneka na kupombeka hawazifagilii so wakikusoma Una hizo mambo wataanza kukuchukulia poa poa na kuua reputation yako.

Kutoboa na kufanikiwa -hii muachie Mungu wewe weka juhudi tu .

All the best Nigga.
 
Nenda ZNZ kutoboa kule ni rahisi sana sababu vijana wa Znz ni wavivu hawapendi kazi ngumu, hizo kazi za ujenzi ndio zenyewe,
Maeneo:
Paje,
Jambiani
Nungwi kiufupi ukanda huo wa nje ya mji, hoteli ni nyingi sana ukifika tu tembelea hizo hotel omba kibarua, usiwe muoga muoga kua mcheshi na mkarimu,
Muhimu:
Uwe muaminifu, jichanganye na watu, kataa starehe, hayo maeneo hakuna hijab wala kanzu ni vichupi na vipensi, pombe na uzinzi kua makini sana.
 
Ikiwezekana mnipe na location kabisa wapi kazi za ujenzi zinapopatikana itakuwa vyema zaidi wakuu.
Kitambulisho chochote tu, hata barua ya mtendaji inatosha ila iwe na piçha yako.
Njoo hapa pemba chakechake uliza machomanne matofalini uje upige tofali hadi uchoke.
Kuna wasukuma wengi sana. Nitakuungsnisha nao.
 
Ndoto ya Kila Mtanganyika Kwa hivi Sasa ni kuingia Zanzibar hali hii isipodhibitiwa sijui hali ya Zanzibar itakuwaje baada miaka 10
Wenye dhamana waliangalie hili Kwa jicho la tatu kisiwa kinazama
Bora Mtanganyika anaenda Zanzibar na kurudi kwao tofauti na Wageni kutoka nje wao wananunua visiwa vidogo vidogo na Maeneo yenye Beach na kuzuia wenyeji wasipite, Mfalme wa Morroco na Mfalme wa Omani wanazidi kununua Majengo tu Ya mji mkongwe.
 
Ndoto ya Kila Mtanganyika Kwa hivi Sasa ni kuingia Zanzibar hali hii isipodhibitiwa sijui hali ya Zanzibar itakuwaje baada miaka 10
Wenye dhamana waliangalie hili Kwa jicho la tatu kisiwa kinazama
bora tu Muungano uvunjike, maana Wazanzibar ni wabaguzi sana toka dahari, wanatafuta vibarua toka Tanganyika lkn hawataki wahodhi ardhi.
hiku bara wanajenga majumba mahoteli na kununua ardhi ila huko kwao hawatoi ardhi.
ipo siku watoto wetu watavunja Muungano na kuwatafuta popote walipo hawa mamluki wa kiarabu na kuwarudusha kwao unguja bila shuka
 
Back
Top Bottom