bushoke wa dar
Member
- Jan 20, 2025
- 22
- 32
kijana wa miaka 22 pia nnalesen ya udereva class d nimeish form 4 ila nahitaji kazi yoyote kwa sasa ya kujikimu kwa sasa .... natanguliza shukrani zangu za dhati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inshallahUtapata Mungu akutangulie.
sawa mkuuUsitangulize shukrani kwanza kabla ya kazi kingine uza hiyo simu anza biashara ndogondogo kijana.
niko dar tabataUpo mkoa gn
me naishi darOmba kazi za ulinzi zanzibar
sawa mkuuAnzisha kijiwe cha kuchoma mahindi
Nenda mbezi njiapanda makabe, Banda boda waambie wakupeleke Chaka force security watakupa maelezo, ukipata kazi, chakula na malazi wanatoame naishi dar
mkuu naomba connection ya kampuni za ulinzi zanzibar zinazolipa vizuriOmba kazi za ulinzi zanzibar
Kulima unaweza?me naishi dar
Watafute garda world, g4s na sga securitymkuu naomba connection ya kampuni za ulinzi zanzibar zinazolipa vizuri
SGA kidogo ndo wapo kwenye peak, G4S lindo kubwa labda ubalozini hapo bongo ila migodini hawapoWatafute garda world, g4s na sga security