Wakuu naumia sana, naombeni msaada wa ushauri

Mapenzi yana nguvu mapenz hayajaribiwi mkuu
Ni kweli dada ubaya namuona Kila mda nimejitahid kumkwep lkn ni kama na yeye ananitafut iv maan nilipo namuona
Unakuaje na mchuchu kazini? Achana na hizo habari, ni ujinga na unajiweka kwenye risk kubwa sana kuwa na Mpenzi ofisi moja au eneo moja la KAZI
Ni kweli mkuu lishatokea SS nahitaj ushauri maan Hali tete
 
Una uhakika wewe ni mtoto wa kiume na mbolo yako inasimama dede bila kipingamizi ?
Kama majibu yako ni ndiyo, kwani unakumbatia tabia za watoto wa kike ?
Unataka upelekwe kwa PDidddy ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…