scot mcomic
JF-Expert Member
- Apr 17, 2021
- 234
- 383
- Thread starter
-
- #21
Nipe namba yake, anywe Jager Master leo leo..
1π hii naanza nayo kesho Tena rafiki yakeTafuta mwanamke hapo hapo uwe unamtoa toa lunch jaribu hii akigoma kurudi niambie nikupe nyingine
Duh huku mbali mkuuAu kama unashingo laini kidogo hizi zimeshuka bei, buku 2 tu unapata mita tano
View attachment 2950299
Ni kweli dada ubaya namuona Kila mda nimejitahid kumkwep lkn ni kama na yeye ananitafut iv maan nilipo namuonaMapenzi yana nguvu mapenz hayajaribiwi mkuu
Ni kweli mkuu lishatokea SS nahitaj ushauri maan Hali teteUnakuaje na mchuchu kazini? Achana na hizo habari, ni ujinga na unajiweka kwenye risk kubwa sana kuwa na Mpenzi ofisi moja au eneo moja la KAZI
Sikuhudhuria kikao hicho jamanTukushauri nn wakati maamuzi sahihi umeshayafanya
Tulikubaliana kwenye kikao chetu cha robo mwaka kuwa EX HARUDIWI, na USIWE NA MAHUSIANO YA MAPENZI ENEO LAKO LA KAZI Kwahiyo ufundishe moyo wako kukubaliana na ukweli kuwa ameenda
Umekuwa mtoro sana kwenye vikao vya wanaume daahSikuhudhuria kikao hicho jaman
Inaonesha mpo mbali mbaliMm mchepuko wangu nilidesh kutoutafuta nawenyewe ukaacha saivi ni mwezi na ninajiona fresh, haunitafuti siutafuti.
Kubali matokea ila KAMWE usiweke bifu nae, kuweni marafiki, wanaokoaga penalty muhimu sana hawa wanaoitwa ma-exNi kweli dada ubaya namuona Kila mda nimejitahid kumkwep lkn ni kama na yeye ananitafut iv maan nilipo namuona
Ni kweli mkuu lishatokea SS nahitaj ushauri maan Hali tete
Heheheeee!Ninao wawil lkn hapo nimefika nisidanganye
Una uhakika wewe ni mtoto wa kiume na mbolo yako inasimama dede bila kipingamizi ?Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima wangwana niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzang kamwaga njiti kabisa nilikuw nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nn Kwa kweli nje navumilia lkn nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jaman ya kumpotezea unaye mpenda alaf mpo karibu ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana
Maex wanatoaje uokozi mkuu ?Kubali matokea ila KAMWE usiweke bifu nae, kuweni marafiki, wanaokoaga penalty muhimu sana hawa wanaoitwa ma-ex
Hilo nalo neno mkuuKubali matokea ila KAMWE usiweke bifu nae, kuweni marafiki, wanaokoaga penalty muhimu sana hawa wanaoitwa ma-ex
Nilivy muelew yaan mda mwingine mnaweza pasha kiporoMaex wanatoaje uokozi mkuu ?
Wewe piga kazi achana nae, ukiona amegoma kurudi mwenyewe na kweli bado unampenda nenda kwa ma ustaz wamfunge, atarudi mwenyewe huyo. Mambo madogo sana hayoKweli mkuu nakubali nimezingua ila ni ajali iyo
DuhUna uhakika wewe ni mtoto wa kiume na mbolo yako inasimama dede bila kipingamizi ?
Kama majibu yako ni ndiyo, kwani unakumbatia tabia za watoto wa kike ?
Unataka upelekwe kwa PDidddy ?
HahaKuna hii chuma hapa, yaani ukikorogea kwenye chai haumalizi dakika 4. Yaani hayo maumivu unayasahau kabisa
View attachment 2950297