Wakuu naumia sana, naombeni msaada wa ushauri

Wakuu naumia sana, naombeni msaada wa ushauri

Mapenzi yana nguvu mapenz hayajaribiwi mkuu
Ni kweli dada ubaya namuona Kila mda nimejitahid kumkwep lkn ni kama na yeye ananitafut iv maan nilipo namuona
Unakuaje na mchuchu kazini? Achana na hizo habari, ni ujinga na unajiweka kwenye risk kubwa sana kuwa na Mpenzi ofisi moja au eneo moja la KAZI
Ni kweli mkuu lishatokea SS nahitaj ushauri maan Hali tete
 
Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima wangwana niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzang kamwaga njiti kabisa nilikuw nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nn Kwa kweli nje navumilia lkn nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jaman ya kumpotezea unaye mpenda alaf mpo karibu ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana
Una uhakika wewe ni mtoto wa kiume na mbolo yako inasimama dede bila kipingamizi ?
Kama majibu yako ni ndiyo, kwani unakumbatia tabia za watoto wa kike ?
Unataka upelekwe kwa PDidddy ?
 
Back
Top Bottom