scot mcomic
JF-Expert Member
- Apr 17, 2021
- 234
- 383
- Thread starter
-
- #41
Una njia rahisi mkuu🙏🙏Wewe piga kazi achana nae, ukiona amegoma kurudi mwenyewe na kweli bado unampenda nenda kwa ma ustaz wamfunge, atarudi mwenyewe huyo. Mambo madogo sana hayo
Alikukomesha 😂😂"Nlijaribugi huo mchezo kipindi tupo sculi yule binti hakufanya utani alimwandikia barua best yangu anampenda na alihakikisha naiona" aliskika mlevi moja
Alikua mzur huyo, sema walikuja kumuunga gridi ya taifaAlikukomesha 😂😂
Hahahaha ukiwa Mkubwa utaelewaMaex wanatoaje uokozi mkuu ?
Naelekea huko, vujisha pepa.Hahahaha ukiwa Mkubwa utaelewa
Usiruhusu watu wako wa karibu wajue tabia zako mbaya. Kama ni mpenzi wa mtaa huo huo basi ficha mapenzi yenu kwa ustadi mkubwa.Usiruhusu kua na mpenzi sehemu za kazi, mitaa unayoishi, nyumba unayoishi, darasa moja and stuff like that. Fanya utafiti utakuja kunishukuru. Usiwinde maeneo ya nyumbani
YeahUsiruhusu kua na mpenzi sehemu za kazi, mitaa unayoishi, nyumba unayoishi, darasa moja and stuff like that. Fanya utafiti utakuja kunishukuru. Usiwinde maeneo ya nyumbani
Eti bwana!kwani plate number hiyo😂Unakuaje na mwanamke mmoja babu miliki pisi 3
View attachment 2950294
Moyo ukishadondoka ndo umeumaliza mwendo hakuna cha workmate wala bossUnakuaje na mchuchu kazini? Achana na hizo habari, ni ujinga na unajiweka kwenye risk kubwa sana kuwa na Mpenzi ofisi moja au eneo moja la KAZI
Na ukute demu alikuwa ashamchokaNimependa eti ulitikisa kiberiti akamwaga njiti,yallwaaah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku nyingine usirudie kutishia kujamb*
Mbinu hatukupi, endelea kuteseka.