Wakuu naumia sana, naombeni msaada wa ushauri

Wakuu naumia sana, naombeni msaada wa ushauri

Na ukute demu alikuwa ashamchoka
Hapa ndio msingi wa tatizo ulipo.

Kitu ambacho wanaume wengi hatukijui ni kwamba wanawake hua wanachoka/wanakinai sana mapenzi, hasa akishajua huna la maana. Mfano unapoanza nae mahusiano hua anakua na matarajio makubwa ila siku zinavyoenda anaanza kugundua huna ishu na hapo anaanza kupoteza mzuka na wewe. Pia kumbuka wanawake hasa wenye kamvuto wanatongozwa sana hii pia huchangia. Sasa ikitokea umetishia kumuacha kipindi kama hiki baasi nayeye anakamatia hapo hapoo..!
 
Ni simple sana, badili mtindo wa kunyoa, badili marashi unayotumia, badili uvaaji wako. Alafu endelea na maisha mengine usihangaike na huyo dada tena.

wanawake wanagundua vitu vidogo vidogo haraka sana.

Kama ukitaka kuwa mtu wa propaganda kama muenezi, tafuta mdada ambae ni rafiki wa huyo dada muulize ukiwa serious akuambie pete nzuri ya uchumba au kagauni ka engagement. Alafu umwambie asimwambie huyo demu. Ila na wewe usimwambie unataka kumvalisha nani.

Komoaneni tu Mkuu, mpaka aokote hizo njiti alizomwaga 😂😂
Uko kote mbali kwa nini, nauli mpaka Tanga 20k, mtaalam anakula 50k na kabla hujafika msata simu zishaanza kulia unaombwa msamaha, vitu vidogo sana hivi
 
Hapa ndio msingi wa tatizo ulipo.

Kitu ambacho wanaume wengi hatukijui ni kwamba wanawake hua wanachoka/wanakinai sana mapenzi, hasa akishajua huna la maana. Mfano unapoanza nae mahusiano hua anakua na matarajio makubwa ila siku zinavyoenda anaanza kugundua huna ishu na hapo anaanza kupoteza mzuka na wewe. Pia kumbuka wanawake hasa wenye kamvuto wanatongozwa sana hii pia huchangia. Sasa ikitokea umetishia kumuacha kipindi kama hiki baasi nayeye anakamatia hapo hapoo..!
Shika sana hiyo...itakusaidia mbeleni
 
Shika sana hiyo...itakusaidia mbeleni
Hii nimeishika tangu utoto wangu na imeshanisaidia sana kuepuka matatizo yasiyo ya lazima.

Maana kiukweli mwanamke akishakukinai ni lazima atakupiga chini tu, hata ufanye nini! Na mimi nimejifunza siku hizi nikishaona dalili tu za kukinaiwa namuwahi, nachapa lapa kwa spidi kali sana..! Ikitokea akaniwahi yeye basi nakua mpole sitaki mambo mengi
 
Dem ashajua huchomoi kwake ndo maana kasema poa maana anajua utarudi tu.
Dem akijua unaumia kwa ajili yake dadeki hamna rangi utaacha ona.

Pole mkuu bila shaka utateseka sana hapo kazini, na hivi unaumia ukimuona anaenjoy na vijeba wengine dadeki utasaga meno we jamaa kama nakuona unavolilia vyoo vya ofisi [emoji23][emoji23].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hisia za mapenzi kwa kiasi kikubwa hubebwa na nyege!,ukiwa na nyege kali hautaacha kumuwaza unaempenda sasa kazitoe utamsahau yani kikubwa hakikisha haukai na upwiru usikaenao...!
Alaaa!
 
Uko kote mbali kwa nini, nauli mpaka Tanga 20k, mtaalam anakula 50k na kabla hujafika msata simu zishaanza kulia unaombwa msamaha, vitu vidogo sana hivi
Hayo mambo hayapo bali ni utapeli tu kwa watu wenye fikra fupi
 
Back
Top Bottom