Wakuu naumia sana, naombeni msaada wa ushauri

Wakuu naumia sana, naombeni msaada wa ushauri

Kwanza kabisa,Kuwa smart kuliko kipindi cha nyuma.Namaanisha kichwani na Mavazi.

Avoid mistakes dongo dogo ofisini.Wahi piga kazi zako sepa.

Tafuta hela kuwa namaendeleo zaidi ya ulivyokua nae.

Jifunze kukaa kimya nankuzuia hasira.Ukionyesha kukasirika umeisha mzee.
 
Maneno yote ya nini unaeza usimjibu hata moja...unafanya kudelete kila kitu chake unatulia afu huoneshi kinyongo, hautii huruma, yaani unakaza ile nothing has happened atafurahia show
Mbinu nzur sana hii
 
Hpn mkuu nina mke 1 na mtoto mmoja ila amini nakwambia ktk maisha yng sijawahi kuteseka na mapenz.
Kwa sabab sijawahi kuwatilia maanani sana wanawake
Yaani wewe ni kama mm kabisa na hii ndio fomula nzuri kwenye maisha hasa sehemu ya mahusiano. Mi huwa nikiingia kwenye mahusiano may be nikimchepuko kikianza kuzingua tu napiga chini na sihangaiki nae.
 
Hii nimeishika tangu utoto wangu na imeshanisaidia sana kuepuka matatizo yasiyo ya lazima.

Maana kiukweli mwanamke akishakukinai ni lazima atakupiga chini tu, hata ufanye nini! Na mimi nimejifunza siku hizi nikishaona dalili tu za kukinaiwa namuwahi, nachapa lapa kwa spidi kali sana..! Ikitokea akaniwahi yeye basi nakua mpole sitaki mambo mengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti nachapa rapa mapema tu
 
Yaani wewe ni kama mm kabisa na hii ndio fomula nzuri kwenye maisha hasa sehemu ya mahusiano. Mi huwa nikiingia kwenye mahusiano may be nikimchepuko kikianza kuzingua tu napiga chini na sihangaiki nae.
Yeah ivo ndo inavyotakiwa kwa mwanaume.
 
hisia za mapenzi kwa kiasi kikubwa hubebwa na nyege!,ukiwa na nyege kali hautaacha kumuwaza unaempenda sasa kazitoe utamsahau yani kikubwa hakikisha haukai na upwiru usikaenao...!
𝒇𝒂𝒄𝒕
 
Siku, moja tuko ndani ya gari dereva alikuwa dada mmoja hivi basi tukapigwa mkono na traffic wa kike alikuwa pisi kwa kweli kakaja kwa dereva wetu kakamwambia dada mbona una speed hivo na umebeba viumbe wachache na adimu sana, hebu wapeleke taratibu hawa viumbe ni wa thamani sana. Hii kauli ya huyu afande inanipaga kiburi kwenye mapenzi hadi sasa
 
Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.

Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.

Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.

View attachment 2950288
sasa umeandika nini?
 
Back
Top Bottom