Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada kwa jamaa hakuwa siriaz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo baada ya hapo makande yakawa hayashuki, ukila unahisi unakula mawe [emoji23]
waliposema usiache kazi kabla ya kupata kazi ulidhani walijisemea tu ili siku ziende!!!Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.
Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.
Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.
View attachment 2950288
Nafanya imagination hapa kama nakuona vile unavoteseka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hayanaga mwongozo, muda ni tiba nzuri sana, utapona tuHabari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.
Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.
Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.
View attachment 2950288
šššš uchawi huo kwani lazima na kamuacha mwenyewe?!!!Wewe piga kazi achana nae, ukiona amegoma kurudi mwenyewe na kweli bado unampenda nenda kwa ma ustaz wamfunge, atarudi mwenyewe huyo. Mambo madogo sana hayo
Wala usijione mjinga ww mtafute mwambie āBabe nilikuwa nimelewa, naomba yaisheā hapo hata yy kakumiss ndiomana anakufanyia visaā¦.. hiyo kawaida kwa watu wanaopendana wala wasikuogopeshe humu. Na wao huko ni wajinga kwa wapenzi wao sema wanavunga tyuuu!!! ššššHabari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.
Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.
Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.
View attachment 2950288
Ndomana mahusiano kazini yanakatazwa Kwa sababu hiziHabari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.
Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.
Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.
View attachment 2950288
That's how boys behave. May be 10 years to come... You'll get to be a man!. And you may forget those stuffs.Havishuki mkuu ndo shida
Hamishia mapenzi Kwa Uyo aliyebakiaNi kweli dada ubaya namuona Kila mda nimejitahid kumkwep lkn ni kama na yeye ananitafut iv maan nilipo namuona
Ni kweli mkuu lishatokea SS nahitaj ushauri maan Hali tete
Kwa sababu anasumbuka na vitu vidogo, badala afanye kazi maisha magumu, anasumbuka na mapenzi.šššš uchawi huo kwani lazima na kamuacha mwenyewe?!!!