Wakuu naumia sana, naombeni msaada wa ushauri

Wakuu naumia sana, naombeni msaada wa ushauri

Hivi mnawezaje kuwa wapenzi ofisi moja?? anyway huyo binti alitaka sana kuachan na wewe ila alikosa ujasiri tu na sasa umejileta mwenyewe kwenye 18 yeye kamaliza mchezo. Endelea na maisha yako wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa ninakimchepuko changu kidogo kidogo hivi nilikuwa na kikubali sana maana tulikuwa tunapika na kupakua, dah! Sikumoja nakuta kinaongea na mshikaji nakiuliza nan huyo kinasema sio mtu wangu nikajisemea huu ni upuuz huyu dem anamshikaji.

Siku moja nikakiomba shoo kikawa kinanizingua zingua nikajisemea huyu dem amesha liwa kiboga sasa napita hivi nayeye kapita hiv, sasa ni mwez sijamtafuta hajanitafuta sibembelezagi mapenzi mm.
 
Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.

Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.

Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.

View attachment 2950288
waliposema usiache kazi kabla ya kupata kazi ulidhani walijisemea tu ili siku ziende!!!
 
Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.

Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.

Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.

View attachment 2950288
Nafanya imagination hapa kama nakuona vile unavoteseka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hayanaga mwongozo, muda ni tiba nzuri sana, utapona tu
 
Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.

Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.

Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.

View attachment 2950288
Wala usijione mjinga ww mtafute mwambie ā€œBabe nilikuwa nimelewa, naomba yaisheā€ hapo hata yy kakumiss ndiomana anakufanyia visa….. hiyo kawaida kwa watu wanaopendana wala wasikuogopeshe humu. Na wao huko ni wajinga kwa wapenzi wao sema wanavunga tyuuu!!! šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚
 
Pole ila usitishie kufart wakati tumbo haliko sawa mkuu, mwambie tu ulikua unamtania aache ujinga hamna kuachana 😃
 
sijajua kwa kampuni/taasisi yako

ila wakati naanza ajira mwanzoni kabisa miaka ya 2000 nilisomewa staff regulation "Ni marufuku kwa wafanyakazi kuwa na uhusiano wa kimapenzi"
failure to adhere mmoja ataachishwa kazi
kwenye suala lako
natamani kujua umri wako,una muda gani kazini na kwanini ulitingisha kiberiti ?
 
Umekosea vitu kadhaa:

1. Kua na demu mmoja.
2. Mapenzi kazini.
3. Kuupa moyo kazi isiyouhusu.
4. Kumpenda demu mwembamba.

Tuna recover vipi?

Jikaze. Ukirudisha majeshi we ni fala wa mwisho.
 
Mwanamke akupende yeye sana ,ila kama wewe ndio umempenda sana atakuendesha kama gari bovu.
 
Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.

Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.

Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.

View attachment 2950288
Ndomana mahusiano kazini yanakatazwa Kwa sababu hizi
 
Back
Top Bottom