Wakuu naumwa korodani ile mbaya ila kila wakipima hamna kitu mara ultra sound hamna ? Lakini nina uhakika kitu kipo ila wao ndo hawaoni

Zingatia maelezo ya huyu jamaa nisababu moja wapo. Pia jaribu kufanya full blood picture kuona Kama una bacteria infection.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…