Wakuu naweza kujiunganisha na huduma ya eSIM mimi mwenyewe nikiwa home au mpaka niwafate vodacom ofisini kwao

Wakuu naweza kujiunganisha na huduma ya eSIM mimi mwenyewe nikiwa home au mpaka niwafate vodacom ofisini kwao

mkuu kuna QR code wanazo wenyew tu..inabid uende labda Esim za mitandaon ndio unaweza kiunga mwenyew nyumban
 
Back
Top Bottom