Wakuu nifanyeje nilijue draft?

Hicho kipengele cha tatu upo sahihi hayo mengine nayaacha kama yalivyo
 

Kuna kujua hesabu hlf kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiria..

Yeyote anayejua draft sana basi ujue ht km darasani ni kilaza vip,huyo hajui uwezo wake halisi au aliaminishwa yeye ni kilaza ila kimsingi ana uwezo mkubwa tu hata darasani
 
Kujua hesabu hakuna mahusiano yoyote na draft, Drafti ni mchezo wa mitego kuanzia kete ya Kwanza mbaka ya mwisho. Usikariri magazijuto ukafikiri utakua mwamba wa draft.
 
Najipa big up maana huwa naweka level ya 100 kwa Dalmax checkers namkalisha mi binafasi kwa sasa nipo level ya juu sana,
Nilianza kucheza draft nna miaka 10.
dalmax habadiliki, mchezo uliomfunga kama unaukumbuka ukipita miguu ile ile naye anakuja vile vile kama ulivyomfunga mwanzo

njoo street huku ukutane na watu wanaoweka mbungi
 
Kuna ushindi unaitwa Super,mchezo mmoja unapigwa 12.
Wataalam wengi wapo uswahilini.mtu anashinda kijiweni kutwa nzima kwa mwaka ancheza draft.
Na wengi uwa ni madalali,mishen town muda mwingi wanakaa kucheza draft.
 
Kaka mimi nimeshawahi kuiwakilisha Tz kwenye michezo ya jumuia ya Madola kwa mchezo wa draft, usinichukulie poa
haya maneno hutumiwa na beginners
 
Kwa kutumia nadharia za draft nahitimisha kwa kusema katika draft wewe ni kilaza. (hujui draft), nadhani hata kwenye Math unaweza kujua kukokotoa tu, ila hujui kuitumia.
 
Unatakiwa ucheze mechi nyingi sana...na ujue michezo yote kwa maana ya kwamba BRITISH na FRENCH ,CHINESE sio saana...kwa mfano ukiwa kanda ya ziwa inayochezwa sana ni FRENCH (Mbele na Nyuma)...ukienda Pwani na Nyanda za juu kusini ni BRITISH (Mbele tu)...na unapocheza draft unacheza madraft mawili (la kwako na la mwenzio) ...
 
πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒ....wewe wakujua drafti wewe,kwa kichwa kipi??

Bhange si ya kila mtu...acha bange mkuu.

Naona unashindana na ulivyoviumba??πŸ˜‚
 
Jifunze golf mkuu!
 
Mzee naona umekomaa na hiki kipimo cha draft.Narudia tena hakuna uhusiano wowote wa hicho unachosema. Kujua draft ni kipaji tu kama vipaji vingine kama kupiga danana, kuruka sarakasi, kuchekesha nk.
 
acha kujidai upo serious sana na maisha

draft ni burudani kama ilivyo michezo mingine, kama huuelewi tuachie sisi tunaouelewa
Heeee....., Sio kwa mashushu hayo loooh, shushu la Xmas , nimeshushukaje mie Mchina wa Nzovwe?
 
Heeee....., Sio kwa mashushu hayo loooh, shushu la Xmas , nimeshushukaje mie Mchina wa Nzovwe?
Halafu nyie wanyakyusa mna-inferior za kishamba sana

Wakati hapo kabwe madanali yanachezwa hadi asubuhi na kombe linawekwa. Mshindi watatu anachukua parachichi
 
Huu nao uzi!!!!???? JF inaelekea wapi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…