Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,052
- 4,621
Hicho kipengele cha tatu upo sahihi hayo mengine nayaacha kama yalivyo
Nilijua draft kipindi nina miaka 12 nadhani draft ni kipaji.
Kwanza draft haitakiwi ufikirie sana.
pili kabla hujasukuma kete mtazame usoni mpinzani wako.
Tatu kabla ya zamu yako kucheza usiangalie sana wenzako wanavyo cheza.
nne usicheze na watu wasio na viwango utadumaza kiwango chako.