Wakuu nimeachwa mwenzenu

Wakuu nimeachwa mwenzenu

Ukiachwa achika mzee.

Kwani huyo ndio mwanamke pekee duniani, piga bunda ishi maisha yako, kulia lia huko kutakutia maradhi, ufe kijinga wenzio wanaendelea kutafuna tunda duniani.
 
Mpendwa mteja, tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara na kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi ya #CORONAVIRUS
 
Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.

Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kanibloko kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kanibloko. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.

Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu I had the same experience miaka 3 iliyopita, nilimpenda, nikawekeza muda na kila kitu kwake kwa miaka zaid ya 4. Over a sudden akakutana na mtu akiwa financially ok kuliko mim,kumbe za bro wake, finally bidada akanitosa. Nami nikakubali kutoseka! Miez 2 baadae akaolewa kwa mbwembwe nyingi nikiona picha fb, before nilimsihi sana, ila nliishiwa kupewa kebehi mana hatukugombana. Nikaamua kunyoosha mikono na kuendelea na maisha yangu. Huwezi amin nimeopoa chombo cha hatari na zaid yake, fasta nikaweka ndani. Mambo yamemuharibikia huko, ndoa haiendi na kakutana na maisha halisi, kanitafuta kaliaaaaa, nimemshauri avumilie, hiyo ndio ndoa na apambanie ndoa yake. So relax, inauma sana but with time you will be healed and forget about her! Gud lucky mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.

Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kanibloko kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kanibloko. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.

Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipendwa pendeka, ukiachwa achika.
 
Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.

Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kanibloko kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kanibloko. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.

Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378

Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo la msingi endelea kunawa maji tiririka na sabuni ili ujikinge na maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19
Usisahau kuvaa Barakoa zilizothibitishwa na wataalam pindi unapoenda sehemu zenye mikusanyiko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.

Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kanibloko kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kanibloko. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.

Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza umekaa sana apa njia panda unatuzia, kata kulia au kushoto, kuna maisha baada ya kuachwa,
Ushauri, usipoteze muda kwenye kitu ambacho sio cha kwako
 
Back
Top Bottom