Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kaandika bloko 😂😂Namwomba kwanza arekebishe hiyo kanibloko ndio tuanzie hapo 🤣🤣🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naunga mkono hoja
Tena unawapanga tuu utakavyoWanaume wenzio tunapambana kutafuta hela wewe unapambana kutafuta magonjwa ya moyo.
Ona sasa umeachwa sababu hauna hela. Tafuta hela, ukiwa na hela hakuna kuachwa wewe ndio utaacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu I had the same experience miaka 3 iliyopita, nilimpenda, nikawekeza muda na kila kitu kwake kwa miaka zaid ya 4. Over a sudden akakutana na mtu akiwa financially ok kuliko mim,kumbe za bro wake, finally bidada akanitosa. Nami nikakubali kutoseka! Miez 2 baadae akaolewa kwa mbwembwe nyingi nikiona picha fb, before nilimsihi sana, ila nliishiwa kupewa kebehi mana hatukugombana. Nikaamua kunyoosha mikono na kuendelea na maisha yangu. Huwezi amin nimeopoa chombo cha hatari na zaid yake, fasta nikaweka ndani. Mambo yamemuharibikia huko, ndoa haiendi na kakutana na maisha halisi, kanitafuta kaliaaaaa, nimemshauri avumilie, hiyo ndio ndoa na apambanie ndoa yake. So relax, inauma sana but with time you will be healed and forget about her! Gud lucky mkuu.Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.
Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kanibloko kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kanibloko. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.
Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wanabadilika ndani ya sekunde moja tu, so suala la mlipendana sahau mkuu..be strong songa mbeleKaka nilimpenda toka moyoni nae pia alinipenda Mm sijui nifanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipendwa pendeka, ukiachwa achika.Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.
Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kanibloko kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kanibloko. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.
Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa mgeni wa huko atakakofikiaEti utakua mgeni wa nani😂😂😂😂
Kwanini amekuacha?
Too much is harmfulKaka I'm Hard person ila kwake nilizidiwa ikabidi nimfanye my everything.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakukupenda huyo ndio maana amekuachaKaka nilimpenda toka moyoni nae pia alinipenda Mm sijui nifanyaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo la msingi endelea kunawa maji tiririka na sabuni ili ujikinge na maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.
Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kanibloko kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kanibloko. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.
Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza umekaa sana apa njia panda unatuzia, kata kulia au kushoto, kuna maisha baada ya kuachwa,Naandika haya simanzi nzito kichwani na moyoni[emoji22][emoji22]. Nimeachwa na mwanamke nimpendae, sijui nifanye nini. Nina vidonda tumbo vilikua vimetulia muda mrefu vimenijia now kwa mawazo niliyonayo, sijui hata nifanyeje.
Sijui nitakua mgeni wa nani mimi, nahurumia moyo wangu ulizama kwake leo kanibloko kila kona bila sababu ya msingi. Tumeongea leo vizuri tu, ananieleza hana shida nami kanibloko. L nakupenda wewe tu sijawahi fikiria kukucheat nakuapia.
Najua utasoma hapa! Wakuu nimebaki njia panda hata sijielewi, nipeni mbinuuu nimrudishe mpenzi wangu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
View attachment 1432378
Sent using Jamii Forums mobile app
Roger that sir!!!!!Mademu wapo kibao..vunga kidogo then opoa chombo kipya unachoendana nacho