Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #21
unataka uone korodani bantu ladySiwezi shauri kitu sijakiona. Nachoweza kusema pole tu, wahi hospitali na ucheze salama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka uone korodani bantu ladySiwezi shauri kitu sijakiona. Nachoweza kusema pole tu, wahi hospitali na ucheze salama.
😂😂😂R.I.P
kaka n changamotoKuna mambo mengi mtu anaweza kuomba, hata hela ningeelewa, but korodani pics?! 😭🚶🏾♂️ Hivi dunia imefika hapa kweli?
Tena ni mwanaume mwenzako😅😅😅😅
yaanPole sana ,wahi hospital mapema
Ukifanya utani utajikuta unajikuna mbele za watu
ndo ile kende zinatoa unga?Pumbu erosion hiyo!
Ukienda kuoga hakikisha unaosha vizuri ngozi ya pumbu usirashie rashie tu!
Nunua vile vitaulo vidogo, ukishamaliza kujifuta mwili wote tumia taulo nyingine kurudia hayo maeneo mpaka kukauke fresh!
Kama upo maeneo ya joto hakikisha ndani ya masaa 24 unaoga mara 3++
kwamba siogi yaan miaka yote hiyo inipate leo hauko seriousUsafi wako tu
ndiondo ile kende zinatoa unga?
ushauri umepokelewakorodani kutokana na ngozi yake kutanuka na kusinyaa linahifadhi uchafu sana, unapooga inabidi utumie muda kidogo kuyasafisha.
Usafi wa taulo nao muhimu, taulo za kiume hadi libadilike rangi ndio linafuliwa, ukimaliza kuoga liweke mahali likauke vziuri. Siyo toka ulivyojikausha asubuhi hadi unakuja kulitumia tena jioni bado lina unyevu
Kausha vizuri maeneo ya koroddani, usijifute kama unafukuzwa. Nyoa vuzi hilo, pori linasabisha joto kwenye hicho kiwanda
Mule mule mzeeendo ile kende zinatoa unga?
Ukawapime wote uliowatafuna.nataka nijue chanzo kama sijatibu kisababishi utajirudia
Kwa mazingira ya maeneo yenye joto kuoga muhimu sana tofauti na kule tulikokua kipindi kile kuoga mpaka kuwe na bashUmemaliza! Ila kuoga three times hapa unaweza fikiriwa 😂😂
Ndiyo, ili niweze kukushauri vizuri. Mwenzako aliweka hapa, hadi hao wanaume waliangalia na kulitolea maelezo kimuonekano. Humu watu hawafai!!!unataka uone korodani bantu lady
Pole sanaa mkuuWanaojua haka kaugonjwa kapo sana maeneo ya pwani.
Nakumbuka shulen huko pwani watu walikua wanaugua sana kwa sababu ya maji tuliyokua tunatumia na mazingira ya unyevu nyevu.
Wajasiliamali wa dawa za fangas huku walijipatia hela.
Lakin jana kulala kuamka nakuta nina hao fangas kwene korodani zangu.Najiuliza nimetoa wap na niko mikoani huku hamna hayo mafangas.
Ngozi ya korodan inababuka kama umemwagiwa asidi na miwasho siyo kivile.
Kabla sijanunua dawa ya fangas nataka kujua nimewatoa wap?
Wataalam?
Nilimuona jamaa anaujasiri yule!!Ndiyo, ili niweze kukushauri vizuri. Mwenzako aliweka hapa, hadi hao wanaume waliangalia na kulitolea maelezo kimuonekano. Humu watu hawafai!!!
sawa nikipona tukutane mkuu😋Pole sanaa mkuu
😂😂😂watu banaMleta mada naona wadau wanataka kuona picha ili wawe kwenye nafasi nzuri ya kutoa ushauri...wadau na picha!!
Au #bantuLady tukutane nikuoneshe utazame vizuriNdiyo, ili niweze kukushauri vizuri. Mwenzako aliweka hapa, hadi hao wanaume waliangalia na kulitolea maelezo kimuonekano. Humu watu hawafai!!!