Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
JF inazidi kujaza vitoto kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaruhusiwa kutoa pesa benki kulingana na transactions unazofanya, sasa wewe kapuku hujawahi kutoa au kuweka hata elfu 20 leo ghafla unataka kutoa mil. 300.....utazitolea dirisha gani aiseee, au hii ni ndoto...Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Labda bank ya ndoto za bangiNaomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
hiyo hela ni nyingi kuanzia 10m kutoa bank siku hizi inakuwa monitored so bado ngumu kwako.. na hiyo hela iko reported kwa bank yako tayari mana lazma wao wajue imetoka wapi imezidi 10m. na ukienda watakuuliza wafanya biashara gani? na nani ambae umefanya nae transaction recently.. ushauri katoe kama tisa tisahapa naona bado sijapata ushauri wa maana, bado nina masaa 6 tu kuamua - please
Hata benki statement huwa hazionekaniWewe ungekuwa una milioni Mia tatu kwenye akaunti yako halafu ghafla zikatoweka ungefanyaje?
Hata ukienda kuzitoa, hazitoki me nakwambia!Yes, kuna mdau pia kanitonya hivyo kwamba ikifika mwisho wa siku leo wanaweza kuzitoa - ndiyo maana nataka nikazitoe kabla ya siku kuisha... Kuna mdau kasema kwamba nijilipue - kufa ni mbele kwa mbele ila nasita -sita roho inagoma.
Yaani wew jamaa ni kama mimi tuuHuo muda uliotumia kutype humu ungeutumia kuuvuta huo mpunga uwe nao utajua utakapouweka,afu mambo mengine ndo yafate.
Mimi hua nawaambia washkaji zangu yaani kwenye akaunti yangu nikute hela yoyote iwe billion au trilion siiachi.Mambo mengine baadae.
Huyu sio mtoto..i d ya muda mrwfu sana hiyiJF inazidi kujaza vitoto kila siku
Umeona mkuu,haina kuremba mwandiko.
Twende zetu Paris tukale maisha
Bila shaka
Hiyo ela huwezi kuifanyia chochote, sana sana ukijitahidi kutoa hautaweza zidi milioni 10 tena kwa kutoa kupitia ATM na si Kaunta ya Benki. Fedha kuingia kwenye akaunti ni rahisi sana ila kuzitoa lazima watu wa benki watahitaji kujua fedha zimetoka wapi kwa kulinganisha na money flow ya akaunti yako na muda huo akaunti tayari inakuwa iko freezed. Kama umeuza kitu watahitaji uthibitisho wa mauziano na watahitaji kukata kodi ya Serikali. Jiandae kwa yote hayo maana hadi uje kuyakamilisha mhusika kashagundua na kuzuia akaunti yako.Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Kuhamishia nje utashtukiwa na kukamatwa haraka sana,kama unaona ni pesa ya kawaida iache katika akaunti,sikilizia kwa muda.Nasema hivyo kwa sababu pesa hiyo si nyingi ya kukufanya uhame nchi,ukienda huko utaishiwa tu.Isikilizie ukiona kimya ni kwako mzee,huna biashara yoyote?Kuna ndugu yangu nataka kumtumia muda huu kwa PayPal - yupo nje ya nchi - Sasa naogopa endapo Transaction hii kama inaweza kushtukiwa na BOT ama lah - nina muda mchache sana kuamua hili... then nichimbe!!
Ah..jf bhana unaweza umiza kichwa kumshauri mtu kumbe hata akaunti yenyewe hana kalala kwa mama yake mdogo hapo abiola hata pakwenda hana asubuhi hiiKing Kong III huwezi kumtunzia huyu mtu pesa?