Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
We unashangaa hizo mwanangu. Mie nilikuta bilioni kumi kwenye account yangu. Go tell it to the birds dog. sorry dogo.200-300=-100 hauna kitu wewe acha kuvuta bangi bila kula
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unashangaa hizo mwanangu. Mie nilikuta bilioni kumi kwenye account yangu. Go tell it to the birds dog. sorry dogo.200-300=-100 hauna kitu wewe acha kuvuta bangi bila kula
Alizokwapua bashiru izoNaomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Bilion kumi 😂😂😂We unashangaa hizo mwanangu. Mie nilikuta bilioni kumi kwenye account yangu. Go tell it to the birds dog. sorry dogo.