Kinachokufanya usiamini kuwa amewekewa hiyo pesa kwenye account ni nini ilhali humjui?Ah..jf bhana unaweza umiza kichwa kumshauri mtu kumbe hata akaunti yenyewe hana kalala kwa mama yake mdogo hapo abiola hata pakwenda hana asubuhi hii
Kwenye account kulikuwa na hela zangu, kwa hiyo nilivyotoa ile 1M ule mzigo wao ulikuwapo intact... nilitoa ili nijue je account bado ipo accessible? je balance yangu ya zamani ipo sawa? je mzigo wao utaonekana kwenye balance yangu mpya? kweli ulionekana wote.
Jamaa walisakwa na mitutu ya bunduki kila kona. Yeye alipewa milioni kadhaa na Serikali Kwa kutojihusisha na kuitoa. Kwa ujumla fedha kama hizo zipo kwenye mfumo ambao ni vigumu kutokukamatwa. Labda walioiweka wawe wamefanya hivyo kwa kujiokoa halafu washindwe namna ya kuzifuatilia tena. Ndiyo maana nikatoa pia maoni kwamba anaweza akajipa muda mrefu wa kukaa kimya kama hakuna kilichotokea. Asiseme na asizitoe. Akizitoa na kuzitumia kuna uwezekano mkubwa zikamtokea puani. Pia itapasuka na atakosa furaha.
King Kong III huwezi kumtunzia huyu mtu pesa?
Kinachokufanya usiamini kuwa amewekewa hiyo pesa kwenye account ni nini ilhali humjui?
Mmh. Labda huyu mtu huwa anachezaga na milioni 200 kwa 250 kwenye akaunti yake kwa hiyo kuja kuomba ushauri huku kukosea wap?Analeta Usanii ndani ya Jumba la Sanaa! Sisi wasanii tunamshangaa tu.
Mtu aliyekuta 300m kwenye account yake asingepata hata muda wa kuja kuandika humu JF angenyofoa mdogo mdogo kwenye ATM mpaka Bank wenye wastukie abnormal transactions ndio wangepiga PIN na yeye angeambulia hata kidogo.
King Kong III si unaona kabisa hapa maelezo yake halafu unasema ni uongo jamaniKuna ndugu yangu nataka kumtumia muda huu kwa PayPal - yupo nje ya nchi - Sasa naogopa endapo Transaction hii kama inaweza kushtukiwa na BOT ama lah - nina muda mchache sana kuamua hili... then nichimbe!!
Mmh. Labda huyu mtu huwa anachezaga na milioni 200 kwa 250 kwenye akaunti yake kwa hiyo kuja kuomba ushauri huku kukosea wap?
Hapana. Umekosea bana watu huku wapo na pesa, kuna mmoja huku ana kampuni zake kibao na ni diaspora lakini pia huwa anaperuzi peruzi huku sana tuBushmamy mtu anayecheza na 200m-250m hana muda kabisa wa kuingia JF na kuanza kuleta ngonjera maana ana emails zaidi ya 100 za kufanyiwa kazi,ana vikao karibu 10 per day huo muda atautoa wapi? Matajiri wengi kama yupo addicted na mitandao basi ana ajiri watu wa social media kumsaidia maana yeye hana muda.
So hii jf ni ya makapuku kama sisi sio?Bushmamy mtu anayecheza na 200m-250m hana muda kabisa wa kuingia JF na kuanza kuleta ngonjera maana ana emails zaidi ya 100 za kufanyiwa kazi,ana vikao karibu 10 per day huo muda atautoa wapi? Matajiri wengi kama yupo addicted na mitandao basi ana ajiri watu wa social media kumsaidia maana yeye hana muda.
King Kong III si unaona kabisa hapa maelezo yake halafu unasema ni uongo jamani
Hapana. Umekosea bana watu huku wapo na pesa, kuna mmoja huku ana kampuni zake kibao na ni diaspora lakini pia huwa anaperuzi peruzi huku sana tu
So hii jf ni ya makapuku kama sisi sio?
Nilitegemea kukuta picha ya risiti ya ATM.Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Jiuzulu!Naomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu:
1. Niripoti bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
Wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Hii ndiyo ID ya kina Bakhressa au Mo??Kuhamishia nje utashtukiwa na kukamatwa haraka sana,kama unaona ni pesa ya kawaida iache katika akaunti,sikilizia kwa muda.Nasema hivyo kwa sababu pesa hiyo si nyingi ya kukufanya uhame nchi,ukienda huko utaishiwa tu.Isikilizie ukiona kimya ni kwako mzee,huna biashara yoyote?
Acha unanga,mil.300 Sio ndogo.Mkuu Mil 300 au tuseme ni $130,500 hivi, zinihamishe nchi ? mbona ndogo nina familia
Lakini kweli,tatzo jf wazinguaji wengi hadi wakweli tunahisi waongoKinachokufanya usiamini kuwa amewekewa hiyo pesa kwenye account ni nini ilhali humjui?