Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaona ushauri niliokupa haufai, basi we upotezee tu. Fanya kile unaona kinakufaa. Ila kuwa makini tu na ushauri unaopewa humu. Mimi nimetimiza wajibu wangu.alijutaje kwamba wakushtak??
kuu huwezi toa ushauri wa kutishia elimu ni kumuwezesha mtu kutambua jema na baya na madhara pamoja na kumwambia kwa mapana uhalisia wa jambo…..Kama unaona ushauri niliokupa haufai, basi we upotezee tu. Fanya kile unaona kinakufaa. Ila kuwa makini tu na ushauri unaopewa humu. Mimi nimetimiza wajibu wangu.
kwamba inawezekana n network tuNMB wamechanganyikiwa usijichose, hata mimi nmepoke ujumbe mara mbili kwa muundo huo ila tofauti hapo ni kiwango cha salio tu...nikiangalia kadi zangu za zamani na zasasa labda kuna moja namba zinafanana lakini hakuna...chungulia bank hakuna....nikawa roho juuu juuu sana...manoti yanasoma mengi alafu mie sina nikahisi kuna mtu amesajili laini yangu kwa NMB, na laini yenyewe yangu tangu 2006 ninayo hadi leo. NMB wangejua hali ni mbaya wangekuwa hawatumi meseji zao za kijinga hizo kwa laini zisizohusika..
kina naniNaona una jitangaza kijanja
Aya Usha wapata
NMB wanazifuatilia akaunti zote zinazoishia na namba 4346 na message hii sasa hivi.Watu wanaweza zan nazingua lakin kifupi nimechanganyikiwa sidhan kama n kweli
maana hamna ninae mdai
sifanyi kazi na sina mtu wa kuniwekea hii hela kama kweli ndio yenyewe
Iko ivi nilikopa laki 4 sehemu nilikha na kazi nayo jamaa ameniwekea amenitumia na msg ya muamala kwenda kuangalia nakuta hiyo!!
Ivi nikiila haiwezi nitokea puani
sijajua huwa wanafanyaga vipi, wahovyo sanakwamba inawezekana n network tu
unanitishasijajua huwa wanafanyaga vipi, wahovyo sana
Endelea kuotaNMB wanazifuatilia akaunti zote zinazoishia na namba 4346 na message hii sasa hivi.
Lia tu kaka dua la kuku halimpati mweweNMB wanazifuatilia akaunti zote zinazoishia na namba 4346 na message hii sasa hivi.
shule kuna muda inagomaMh shule mlienda kufanya nini?
Wabongo wengi hawajui privacy na wanaotoa PII kirahisi sana.Lia tu kaka dua la kuku halimpati mwewe
sijui ni roho mbaya au ignoranceWabongo wengi hawajui privacy na wanaotoa PII kirahisi sana.
Umeelewa nilichoandika?sijui ni roho mbaya au ignorance