Wakuu nimetapeliwa na mtu wa Thailand

Wakuu nimetapeliwa na mtu wa Thailand

Wewe ni rofa acha utapeliwe wenzetu mna hela za kuchezea unamwaminije mtu usie mjua???
 
Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Ww ni mjinga sana. Ukituma hela ulikua unajua namna ya kuzirudisha. Na nikuambie aliekutapeli yupo hapa hapa bongo. Na kama umetapeliwa weka uthibitisho wa miamala uliotuma na useme umetumia njia gani mbali na hapo hii ni chai from zanzibar
 
Imeisha hiyo
Screenshot_20230624-203234_1687628096488.jpg
 
Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Pole Hao ni Wanaijeria! Hapo wasiliana na ubalozi wa nchi husika na Bank yao unaweza pata msaada
 
Nakushauri kubaliana na hali. Hiyo ndo imeshaenda. Kwenye maisha ya upambanaji ni kitu cha kawaida kutokea. Mwaka 2019 kuna mama aliliwa kama 108m na sio kwamba hata alituma pesa.. alienda kabisa China kwenye ofisi zao kuagiza mzigo. Kontena zimefika hazina rim hata moja bali matakataka kama mawe na makaratasi. Karibu tumpoteze ila akajipanga upya na sasa hivi yuko njema kifedha kuliko mwanzoni. WAPUUZE wanaocheka hapa kwasababu watu wa aina hiyo ni maskini hawajui mambo ya upambanaji. POLE SANA NDUGU
💪🤣👋
 
Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!

Pole sana jmn
 
Back
Top Bottom