Wakuu nimetapeliwa na mtu wa Thailand

Wakuu nimetapeliwa na mtu wa Thailand

Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Hivi huwa mnamtumiaje mtu hela online?
Au Mimi ni mshamba sanaaa??

#YNWA
 
Huyo Ni Mkenya hakuna Thailand hapo
Ni kweli ata Facebook huko wamejaa na wanaliza sana Watz. Wanajifanya wanawake na anasema anakutumia electronics kama Ipad Iphone na Pesa dola 2000. Sasa siku ya siku lijamaa linakuchek kwa namba 254 linasema lipo Jomo kenyatta Airport na anavitu anapiga picha box limeandikwa jina lako na documents apo unaingia kingi unatuma hela ya Usafiri viweze kukufikia huku Tanzania... apo ndo unakua Umekwisha
 
Ni kweli ata Facebook huko wamejaa na wanaliza sana Watz. Wanajifanya wanawake na anasema anakutumia electronics kama Ipad Iphone na Pesa dola 2000. Sasa siku ya siku lijamaa linakuchek kwa namba 254 linasema lipo Jomo kenyatta Airport na anavitu anapiga picha box limeandikwa jina lako na documents apo unaingia kingi unatuma hela ya Usafiri viweze kukufikia huku Tanzania... apo ndo unakua Umekwisha
Mzizi wa matatizo yote tamaa
 
Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Mungu akufanyie wepesi
 
Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Hizi hela za kuchezea mnazipataga wapi unatongozwa hadi unatoa milioni 15 yaelekea hata tigo utatoa
 
Back
Top Bottom