Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Siyo makasiriko bali nakuweka kwenye mstari ili usijepoteza fedha zako tenaKuna kukosea kuandika, usiniletee makasiriko mm, hongera kwako kwa kua mkamilifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo makasiriko bali nakuweka kwenye mstari ili usijepoteza fedha zako tenaKuna kukosea kuandika, usiniletee makasiriko mm, hongera kwako kwa kua mkamilifu
Hivi huwa mnamtumiaje mtu hela online?Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hatari sanaa aisee..Kupitia huu uzi nimeelewa WaTanzania wangi wana misongo ya mawazo [emoji119]
Nawewe mpige hiyo 15m ndo ajue wabongo ni nyokoNiko nachat nae hapaa huyu mtailand[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] anajibu msg kabisaa hata namba hajabadilishaaa
Ni kweli ata Facebook huko wamejaa na wanaliza sana Watz. Wanajifanya wanawake na anasema anakutumia electronics kama Ipad Iphone na Pesa dola 2000. Sasa siku ya siku lijamaa linakuchek kwa namba 254 linasema lipo Jomo kenyatta Airport na anavitu anapiga picha box limeandikwa jina lako na documents apo unaingia kingi unatuma hela ya Usafiri viweze kukufikia huku Tanzania... apo ndo unakua UmekwishaHuyo Ni Mkenya hakuna Thailand hapo
Mzizi wa matatizo yote tamaaNi kweli ata Facebook huko wamejaa na wanaliza sana Watz. Wanajifanya wanawake na anasema anakutumia electronics kama Ipad Iphone na Pesa dola 2000. Sasa siku ya siku lijamaa linakuchek kwa namba 254 linasema lipo Jomo kenyatta Airport na anavitu anapiga picha box limeandikwa jina lako na documents apo unaingia kingi unatuma hela ya Usafiri viweze kukufikia huku Tanzania... apo ndo unakua Umekwisha
Mimi hata ef Tano kwa mtu ambaye simjui vizuri situmii,so how 15m???? Ajabu sana hiiDah watu mna hela..yani ukam-trust mtu humjui kwa kutuma hela yote hyo?
Mungu akufanyie wepesiHabari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Hizi hela za kuchezea mnazipataga wapi unatongozwa hadi unatoa milioni 15 yaelekea hata tigo utatoaHabari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Mkuu unataka kumtapeli tena?eeeh! hapo akimpata mganga wangu.. mbona jamaa atatembea kwa miguu kutoka Thailanda hadi alipo ElsaAnna .. tena atarudisha mala mbili 😅😅
Hapa ndio ulikosea....
[emoji23]yani utume pesa kwa M-PESA thailand?