Wakuu nina uhitaji mkubwa sana wa kazi angalau 300K tu kwa mwezi

Wakuu nina uhitaji mkubwa sana wa kazi angalau 300K tu kwa mwezi

Ezra cypher

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2024
Posts
244
Reaction score
904
Habari zenu wakuu.

Nipo katika nyakati ambazo hazielezeki wala kusimulika , nimekuwa nafatilia kazi huu mwezi sasa wa tatu.

Mpaka nikasema ngoja nijaribu kutembelea na JF the home of great thinkers kuona Kama kuna MTU atakuwa na opportunity anipatie ili niwe busy and productive.

Sifa zangu ni Kama zifuatazo
Age: 24
Sex :Male
Education kidato cha nne.
Cont :- +255718038005
Location : DSM

Uzoefu kazini
Nimefanya Kazi Kama store keeper attendant.

Sifa za jumla
Hard worker
Teachable
Honesty

Aina gani ya Kazi ambazo ningependa

Kazi ya aina yoyote maana Mimi ninafundishika kirahisi

Mfano kuuza madukani., viwandani , storekeeper kuwa PA wa MTU means personal assistant.

Mshahara per month at least 300k

Au 10k ten thousand per day.

Location -nipo DSM
(Dar es Salaam)

Niwatakie siku njema na Mungu awabariki Sana .
 
Habari zenu wakuu.

Nipo katika nyakati ambazo hazielezeki wala kusimulika , nimekuwa nafatilia kazi huu mwezi sasa wa tatu.

Mpaka nikasema ngoja nijaribu kutembelea na JF the home of great thinkers kuona Kama kuna MTU atakuwa na opportunity anipatie ili niwe busy and productive.

Sifa zangu ni Kama zifuatazo
Age: 24
Sex :Male
Education kidato cha nne.
Cont :- +255718038005
Location : DSM

Uzoefu kazini
Nimefanya Kazi Kama store keeper attendant.

Sifa za jumla
Hard worker
Teachable
Honesty

Aina gani ya Kazi ambazo ningependa

Kazi ya aina yoyote maana Mimi ninafundishika kirahisi

Mfano kuuza madukani., viwandani , storekeeper kuwa PA wa MTU means personal assistant.

Mshahara per month at least 300k

Au 10k ten thousand per day.

Location -nipo DSM
(Dar es Salaam)

Niwatakie siku njema na Mungu awabariki Sana .
Hapo bado 300 ama nn 😂
 
Back
Top Bottom