Wakuu nina wazo

Ila wanawake akili zao wanazijua wenyewe. Yani mtu hela ya kula hana, ila anataka kuwekeza 2m kwenye iphone ili akapige picha chooni aonyeshe macho ma3. Izo ni akili au matope..?
Na iphone lenyewe halipewi hata matunzo ya bando sana sana vifurushi vya chuo tu [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli na Mimi nimeshangaa wanawezaje aisee hivi hizo I phone Zina maajabu gani kwani mtusimulie
Kamera kali, kasi ya internet, usalama wa password na GB nyingi ambazo nusu ya GB hujazwa videos za Tom na Jerry, gemu na picha za umbeya umbeya wa celebrities, taarabu, vigodoro na singeli tu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
anafikiri akina kenzy tunaweza kufanya hivyo sie mashetani ni tafrani sana ,vurugu ni nyingi harakati za kudusua vizazi ndio usiseme... amuache aone akina kenge tunavyoibuka
🤣Hamshindwi na jambo
 
Mwambie kodi ikiisha ahamie kwako.
 
We msenge baba yangu na mama ya gu kaingiaje kwenye hii conversation?mwanzo na mwisho kuniquote na huo mdomo wako mchafu uliozoea kulamba mikei michafu....usinitibue zivuma
 
Ndiomana kodi zinadaiwa mapema
Ndio maana nasema siku hizi mapenzi ni mchezo wa kuviziana.. anaewahi ndio mshindi. Ke anawahisha mahitaji ili achukue chake mapema, huku me nae anawahi kutaka gemu ili akishakula asepe..😄 Patamu hapoo na gemu haitaki hasira ukigundua umewahiwa unakua mpole unacheki ustaarabu sehem nyingine✌️😊
 
😂😂😂Lakini inategemea Jamani hasa Hawa wa kula na kusepa ila km mtu mwenye malengo anatoa tu na Wala haombi chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…