Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
NakaziaHaya mambo hayatabiriki. Huyo anaekaa kwao anaweza kuwa wa hovyo kuliko anaejitegemea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaHaya mambo hayatabiriki. Huyo anaekaa kwao anaweza kuwa wa hovyo kuliko anaejitegemea.
Na iphone lenyewe halipewi hata matunzo ya bando sana sana vifurushi vya chuo tu [emoji23]Ila wanawake akili zao wanazijua wenyewe. Yani mtu hela ya kula hana, ila anataka kuwekeza 2m kwenye iphone ili akapige picha chooni aonyeshe macho ma3. Izo ni akili au matope..?
😂 mmetisha dawa yenu ni kuwawahi tu kabla hayajaanza hayo atleast mzani uwe ushabalansiUmesahau mjomba kumeza shoka, bibi amefariki nauli sina, dressing table imeisha kwa fundi ila bado ananidai. 🤣🤣🤣🤣
Sisi kila kitu mwanzo km agano la kale 😜
Kamera kali, kasi ya internet, usalama wa password na GB nyingi ambazo nusu ya GB hujazwa videos za Tom na Jerry, gemu na picha za umbeya umbeya wa celebrities, taarabu, vigodoro na singeli tu.Kiukweli na Mimi nimeshangaa wanawezaje aisee hivi hizo I phone Zina maajabu gani kwani mtusimulie
Tulivyo na akili nyingi sasa utatupatia wapi?? Tunajua mbele mnazingua lazima tudai mapema kodi 😂😂😂😂 mmetisha dawa yenu ni kuwawahi tu kabla hayajaanza hayo atleast mzani uwe ushabalansi
Nikishakula si basi ngoma dirooo 😂Tulivyo na akili nyingi sasa utatupatia wapi?? Tunajua mbele mnazingua lazima tudai mapema kodi 😂😂😂
Nisaidie ndugu yangu...Swali la msingi ni why anapanga na ana Mwanaume ambaye ana kwake? [emoji848]
🤣Hamshindwi na jamboanafikiri akina kenzy tunaweza kufanya hivyo sie mashetani ni tafrani sana ,vurugu ni nyingi harakati za kudusua vizazi ndio usiseme... amuache aone akina kenge tunavyoibuka
Tema wazo hapaWazo ulilo nalo ni lipi sasa, au umechanganyikiwa
Ndiomana kodi zinadaiwa mapemaNisaidie ndugu yangu...
Mwambie kodi ikiisha ahamie kwako.Nipo na mahusiano na binti mmoja mrembo tu. Tukaanza mahusiano tatzo yule binti anaonekana yupo kimaslahi. Pesa za matumizo huwa nina mpa japo ana kiajira chake.
Siku moja tumepanga meeting somewhere in sinza binti akaja but anaonekana ayupo oky halafu yupo bize na simu.
Nikamuuliza vipi mbona kama aupo sawa akasema yupo oky but 4sure hakuwa sawa. Yani tupo wote lakini akili yake ipo kwengine bac akaagiza msosi akala akasema anawahi home nikamwabia sawa. Nikampa pesa kidogo akaondoka baadae akanitumia txt kuwa kuna kitu anataka tuzungumze nikamwambia sawa.
Usiku wake akaniambia kodi imeisha pia simu yake ya iphone x imeishiwa betri na ataki tena simu hiyo lengo lake ni kufanya top up apate simu nyingine nkamwambia sawa bac tutachek.
Ila baada ya hapo huyo demu amekuwa ayuko happy juzi kati tena kanikumbusha nikamwambia saiz bado sipo fresh nina majukumu kidogo yamenibana akaanza kuongea vitu vingi kwamba sijawahi mfanyia chochote kikubwa nikamwambia mbona unaharaka mahusiano yetu mbona bado machanga una haraka gani.
Basi yakaisha ila toka siku hiyo huyo dem kabadilika juzi aliniambia hana nauli ya kwenda job nikamtumia 30k hata ahsante akusema nikishawahi kumgegeda mara moja na kiukweli nilikuwa na mipango ya yeye kumfanya kama mchumba wangu ila kanishinda saiz atuongei na kwa kweli kumuacha hivi siwezi sababu ni gold diger naona nijirudi kwake kwa kumuahidi kodi upya kwake nimgonge mara ya mwisho halafu namdump mazima. Japo sikuwa na lengo hilo ila ngoja nimkomoe.
We msenge baba yangu na mama ya gu kaingiaje kwenye hii conversation?mwanzo na mwisho kuniquote na huo mdomo wako mchafu uliozoea kulamba mikei michafu....usinitibue zivumaMnapowasema wanaume kutowatunza wapenzi wao wa kike (girlfriends) muanze kwanza kuwasema baba zenu
Umesema vizuri sana kipimo cha mwanamume ni kudeal na majukumu. Turudi kwa baba zenu sasa nao ni wanaume sio?
Ikiwa ndivyo mnapokuwa ombaomba, kosa ni la nani? Ni letu au la baba zenu?
Hiyo sio shida yetu kosa ni la baba zenu waliwatia mimba bi wakubwa zenu halafu wanashindwa kuwatunza nyinyi watoto zao
Iweje wanategemea sisi wanaume wenzao tubebe jukumu lao?
Until we marry her, we ain't her responsibility
Kings we never playing fatherly role on girlfriends
The game is brutal but still fair
Muhimu sana.Ndiomana kodi zinadaiwa mapema
Yani nimetoka kuomba Kodi Kwa kakaako had nimeshtuka km ulikuwa na mm🤣🤣🤣🤣Tulivyo na akili nyingi sasa utatupatia wapi?? Tunajua mbele mnazingua lazima tudai mapema kodi 😂😂😂
Yeah sio mbaya kuliko amlipie kodi halafu aingize vidume vingine viende kummegaHata kama angekuwa anatumia la huyu mwamba, kama kodi mzigo akae na jamaa amwambie wafanyaje kama vipi ahamie kwake waishi pamoja au?
Wifi kazana akupe kodi asikutanie anazo nyingi, na uombe ya mwaka sio ya miezi mitatu..!! 🤣🤣🤣Yani nimetoka kuomba Kodi Kwa kakaako had nimeshtuka km ulikuwa na mm🤣🤣🤣🤣
Na lazima watoe ili kurahisisha mambo 🤣🤣🤣Muhimu sana.
Yani Hadi aseme 😂😂😂Wifi kazana akupe kodi asikutanie anazo nyingi, na uombe ya mwaka sio ya miezi mitatu..!! 🤣🤣🤣
Ndio maana nasema siku hizi mapenzi ni mchezo wa kuviziana.. anaewahi ndio mshindi. Ke anawahisha mahitaji ili achukue chake mapema, huku me nae anawahi kutaka gemu ili akishakula asepe..😄 Patamu hapoo na gemu haitaki hasira ukigundua umewahiwa unakua mpole unacheki ustaarabu sehem nyingine✌️😊Ndiomana kodi zinadaiwa mapema
😂😂😂Lakini inategemea Jamani hasa Hawa wa kula na kusepa ila km mtu mwenye malengo anatoa tu na Wala haombi chochoteNdio maana nasema siku hizi mapenzi ni mchezo wa kuviziana.. anaewahi ndio mshindi. Ke anawahisha mahitaji ili achukue chake mapema, huku me nae anawahi kutaka gemu ili akishakula asepe..😄 Patamu hapoo na gemu haitaki hasira ukigundua umewahiwa unakua mpole unacheki ustaarabu sehem nyingine✌️😊