Wakuu nina wazo

Unatumia nguvu kubwa kujibu Yatima mwendokasi wenziye humu, hao wote ni kuwapuuza tu.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo hayatabiriki. Huyo anaekaa kwao anaweza kuwa wa hovyo kuliko anaejitegemea.
Bado Ke anayeishi kwao ana unafuu kwa 70% kuliko Ke anayeishi ghetto, kiuhalisia Ke akiwa free sana ndivyo hujirahisisha kuwa gubegube maana hushawishiwa na vingi pasipokuwa na Mtu wa kumuonya/kumkataza afanyavyo.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
birthday ni mwanzo
Kodi ni mwanzo
Gesi kuisha ni mwanzo
Mama kuumwa n mwanzo
Luku ni mwanzo
Mbinu zenu ni mwanzo tu sijui zinatoka MWANZO ngapi kwenye biblia?πŸ˜‚πŸ˜‚
Umesahau mjomba kumeza shoka, bibi amefariki nauli sina, dressing table imeisha kwa fundi ila bado ananidai. 🀣🀣🀣🀣
Sisi kila kitu mwanzo km agano la kale 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…