Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #161
Verry sure mkuuHuyo atakupuna upunike kama kifuu cha nazi piga Mashine faster ukimbie hilo jini la kausha Damu😁😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Verry sure mkuuHuyo atakupuna upunike kama kifuu cha nazi piga Mashine faster ukimbie hilo jini la kausha Damu😁😂😂
NAfuata huu ushauriMzee kwanza pole kama vipi achana nae tuu imagine unalipa hiyo Kodi bado anataka ku top-up hiyo iPhone x we cha kufanya mrubuni tuu.Kula mzigo potea kama yeye alivyokua anakupotezea
Jirani usimchambe mleta mada.Vihela vyenyewe vya ngama 🤣🤣🤣
Simchambi namuelekeza hali halisiJirani usimchambe mleta mada.
Fanya hvyoVerry sure kaka nimekuelewa sana mkuu
Unatumia nguvu kubwa kujibu Yatima mwendokasi wenziye humu, hao wote ni kuwapuuza tu.Hapana Demu sio ni Chuma ulete.
Baadae umri ukishaenda atakuja kulalamika humu eti wamemchezea.
Hapo anataka wa kumlipia kodi, kumnunulia Iphone n.k.
Ameitwa na Mwamba akaonekana yuko bize na simu na kimawazo hayupo kabisa.
Kifupi uyo demu kaona jamaa ana pesa lakini hakuna mapenzi hapo.
Sasa vihela vya ngama vimehusikaje hapo, utapigwaSimchambi namuelekeza hali halisi
🤣🤣🤣 sasa km anazo nyingi badala ya kuanzisha uzi wa kulia lia angeshmpa bidada pesa ya kodiSasa vihela vya ngama vimehusikaje hapo, utapigwa
Akili zako wewe ni sawa na huyu mdada ko sikushangai madada wa mjini ndivyo mlivyo🤣🤣🤣 sasa km anazo nyingi badala ya kuanzisha uzi wa kulia lia angeshmpa bidada pesa ya kodi
Wewe acha tu ndugu yanguIla wanaume tunahangaika na hapo hatuendi period tungekwa nayo hakuna rangi tusingeona huu ulimwengu
Tutawapa wangapi?🤣🤣🤣 sasa km anazo nyingi badala ya kuanzisha uzi wa kulia lia angeshmpa bidada pesa ya kodi
🤣🤣🤣 yaishe kaka mpelekee wifi pesa ya kodi.Akili zako wewe ni sawa na huyu mdada ko sikushangai madada wa mjini ndivyo mlivyo
Unataka ziishe mwisho wa mahusiano ili ile kwetu?? 🤣🤣🤣Tutawapa wangapi?
Alafu wengi wenu kodi zinawaishia mwanzoni mwa mahusiano tu 😅
K haikomolewi!Unamkomoa ama unajikomoa?
Wapambanaji kupitia visusio ila si kazi halali [emoji16]Mimi nilisema chumbieni binti anaekaa kwao. Unaona madhara ya kuchumbia hawa wanajiita wapambanaji... Wadangan5in disguise
birthday ni mwanzoUnataka ziishe mwisho wa mahusiano ili ile kwetu?? 🤣🤣🤣
Bado Ke anayeishi kwao ana unafuu kwa 70% kuliko Ke anayeishi ghetto, kiuhalisia Ke akiwa free sana ndivyo hujirahisisha kuwa gubegube maana hushawishiwa na vingi pasipokuwa na Mtu wa kumuonya/kumkataza afanyavyo.Haya mambo hayatabiriki. Huyo anaekaa kwao anaweza kuwa wa hovyo kuliko anaejitegemea.
Umesahau mjomba kumeza shoka, bibi amefariki nauli sina, dressing table imeisha kwa fundi ila bado ananidai. 🤣🤣🤣🤣birthday ni mwanzo
Kodi ni mwanzo
Gesi kuisha ni mwanzo
Mama kuumwa n mwanzo
Luku ni mwanzo
Mbinu zenu ni mwanzo tu sijui zinatoka MWANZO ngapi kwenye biblia?😂😂