Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Waoaji wamechoshwa na chuma uleteCha ajabu mnaolalama ni nyie waoaji, kuliko hata hao waolewaji, kuna shida mahala. Woiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waoaji wamechoshwa na chuma uleteCha ajabu mnaolalama ni nyie waoaji, kuliko hata hao waolewaji, kuna shida mahala. Woiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kwa chakula na mavazi, Inategemea na muhusika hitaji lake nini.Kwahiyo ngono inalipwa kwa kodi siku hizi
Mwanaume acha michambo go straight to the pointIla akili za kijijini bado, unaliwa hela kizembe alafu unaomba ushauri, you look very local hata kama uko town 8 yrs, acha ujinga utamalizwa na wanawake wa mjini
Unamkomoa ama unajikomoa?Pesa ninayo ila sitaki kuitumia kwa mtu asie sahihi ndio maana nataka nimkomoe
Si waachane na hao chuma uletee, kwani lazima ku deal nao? LolWaoaji wamechoshwa na chuma ulete
Demu kagundua huyo mwanaume sio class yake kaamua kumtafutia muacho kimtindo, sasa umkute demu anamiliki gheto halafu utegemee kumuhonga pesa mbuzi km mwanafunzi kweli??Hapana Demu sio ni Chuma ulete.
Baadae umri ukishaenda atakuja kulalamika humu eti wamemchezea.
Hapo anataka wa kumlipia kodi, kumnunulia Iphone n.k.
Ameitwa na Mwamba akaonekana yuko bize na simu na kimawazo hayupo kabisa.
Kifupi uyo demu kaona jamaa ana pesa lakini hakuna mapenzi hapo.
Mahusiano siku hizi magumu sana yani ukishaanza mahusiano kodi zinaisha na simu zinakua mbovuNipo na mahusiano na binti mmoja mrembo tu. Tukaanza mahusiano tatzo yule binti anaonekana yupo kimaslahi. Pesa za matumizo huwa nina mpa japo ana kiajira chake.
Siku moja tumepanga meeting somewhere in sinza binti akaja but anaonekana ayupo oky halafu yupo bize na simu.
Nikamuuliza vp mbona kama aupo sawa akasema yupo oky but 4sure hakuwa sawa. Yani tupo wote lakini akili yake ipo kwengine bac akaagiza msosi akala akasema anawahi home nikamwabia sawa. Nikampa pesa kidogo akaondoka baadae akanitumia txt kuwa kuna kitu anataka tuzungumze nikamwambia sawa.
Usiku wake akaniambia kodi imeisha pia simu yake ya iphone x imeishiwa betri na ataki tena simu hiyo lengo lake ni kufanya top up apate simu nyingine nkamwambia sawa bac tutachek.
Ila baada ya hapo huyo dem amekuwa ayuko happy juzi kati tena kanikumbusha nikamwambia saiz bado sipo fresh nina majukumu kidogo yamenibana akaanza kuongea vitu vingi kwamba sijawahi mfanyia chochote kikubwa nikamwambia mbona unaharaka mahusiano yetu mbona bado machanga una haraka gani.
Bac yakaisha ila toka siku hiyo huyo dem kabadilika juzi aliniambia hana nauli ya kwenda job nikamtumia 30k hata ahsante akusema nikishawahi kumgegeda mara moja na kiukweli nilikuwa na mipango ya yeye kumfanya kama mchumba wangu ila kanishinda saiz atuongei na kwa kweli kumuacha hv siwezi sababu ni gold diger naona nijirudi kwake kwa kumuahidi kodi upya kwake nimgonge mara ya mwisho halafu namdump mazima. Japo sikuwa na lengo hilo ila ngoja nimkomoe.
Yes mkuu mimi alinivunja moyo sio kwamba siwez kumgaramia but respond yake airidhishi kabisaHapana Demu sio ni Chuma ulete.
Baadae umri ukishaenda atakuja kulalamika humu eti wamemchezea.
Hapo anataka wa kumlipia kodi, kumnunulia Iphone n.k.
Ameitwa na Mwamba akaonekana yuko bize na simu na kimawazo hayupo kabisa.
Kifupi uyo demu kaona jamaa ana pesa lakini hakuna mapenzi hapo.
Kwa sasa huyo malaya anatumia jina la nani la ukoo, la baba yake au la kwako la ukoo?Usiku wake akaniambia kodi imeisha
Kaka ni shida sanaMahusiano siku hizi magumu sana yani ukishaanza mahusiano kodi zinaisha na simu zinakua mbovu
La baba yakeKwa sasa huyo malaya anatumia jina la nani la ukoo, la baba yake au la kwako la ukoo?
Basi kwa sasa baba yake ndiye mwenye jukumu la kumlipia kodiLa baba yake
Wakati we unahisi unanipima kumbuka na mimi nakupima pia.Sasa kipimo Cha mwanaume ni kudeal na majukumu,Sasa kama Kodi inakushinda hapo we uage mashindano tu sio ligi yako
🤝🏻Basi kwa sasa baba yake ndiye mwenye jukumu la kumlipia kodi
Ukijibiwa hili swali niite mbwaNa kipimo cha Mwanamke ni nini?
Napinga hoja yake kama ambavyo katiba ya nchi na sirikali kuu inanirusu.😁Ni kwamba hutaki wazo lake Dr?
Kabisa mkuuWakati we unahisi unanipima kumbuka na mimi nakupima pia.
HahahUkijibiwa hili swali niite mbwa
Umeolewa?Si waachane na hao chuma uletee, kwani lazima ku deal nao? Lol
Mkuu mbona huyu demu kama namfahamu..?🤣🤣🤣Yupo na iphone X anataka afanye top up apate iphone 12pro