Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Tena fani yenyewe ni bongoflevaKulazimisha penzi Ni sawa na kulazimisha fani😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena fani yenyewe ni bongoflevaKulazimisha penzi Ni sawa na kulazimisha fani😃
Una muda wa kupoteza. Si umuache aende zake yaan ushajua mtu hakufai bado upo tu.Pesa ninayo ila sitaki kuitumia kwa mtu asie sahihi ndio maana nataka nimkomoe
Demu wa wote hahahaMkuu mbona huyu demu kama namfahamu..?🤣🤣🤣
Kuna ambae nilikua nae juzi nae ana iphone x na kaniambia haitaki tena anataka ku top up achukue 13 pro max. Nikamuambia umeambiwa uongeze shing ngapi anadai kaambiwa ajazie 1.5m. Namuuliza ehee we una ngapi sasa kati ya hizo? Anasema ana 100k! (Najua ni uongo hana ata mia) 🤣🤣🤣 Nilicheka sana nikamuambia hebu vua nguo tulale..
Demu wa hivi yuko tayari kuuza hadi. 0718 ili apate Iphone.Nikamuambia umeambiwa uongeze shing ngapi anadai kaambiwa ajazie 1.5m. Namuuliza ehee we una ngapi sasa kati ya hizo? Anasema ana 100k! (Najua ni uongo hana ata mia) 🤣🤣🤣 Nilicheka sana nikamuambia hebu vua nguo
Sure kabisa bro huyu dem afaiDemu wa hivi yuko tayari kuuza hadi. 0718 ili apate Iphone.
Wewe fikiri hana hata Laki moja ila anataka simu ya milioni 2
Wanauza sana tuSure kabisa bro huyu dem afai
Shukrani rafiki [emoji1635]Nimekuelewa Kelsea wewe huwa ni moja wa jinsia ke naowalewa sana kwa mawazo yao humu jf
😂Unamkomoa au unajikomoa?? Unashindana na ulikotoka?? Hapo utaliwa vihela vyako vilivyobaki tyuuuu!!
Achana na hiyo plan yako ila huyo hafai kama unatafuta ke wa kuwa mke huyo ni uongo bado ana uslay queen mwingi.Pesa ninayo ila sitaki kuitumia kwa mtu asie sahihi ndio maana nataka nimkomoe
Ushauri mzuri sana kutoka kwa mtaalam wa mambo haya.Una muda wa kupoteza. Si umuache aende zake yaan ushajua mtu hakufai bado upo tu.
[emoji2][emoji2]Ushauri mzuri sana kutoka kwa mtaalam wa mambo haya.
Haya bhana..Unataka kunioa? [emoji23][emoji23][emoji23]
Haya mambo hayatabiriki. Huyo anaekaa kwao anaweza kuwa wa hovyo kuliko anaejitegemea.Mimi nilisema chumbieni binti anaekaa kwao. Unaona madhara ya kuchumbia hawa wanajiita wapambanaji... Wadangan5in disguise
Huyo dem anafaa kutafuna, kama ulivyosema mashine iko ok we kama vp endelea kumega ila kichwani unajua kabisa hapo hamna mtu. Mahusiano ya siku hizi ni kuviziana we ukimzidi kete unamega halafu unamuachia vumbi hakuna cha iphone wala nini..Sure kabisa bro huyu dem afai
Mie nakuuliza, au vibaya mkuu? [emoji23][emoji23][emoji23]Haya bhana..
Lakin angalau ukikaa nyumbani kuna baadhi ya maujinga huwezi fanya. Jamii yetu mwanamke akipanga maana yake ni shindikanaaa. Anatafuta nafasi ya kufanya ushenzi wake vizuriHaya mambo hayatabiriki. Huyo anaekaa kwao anaweza kuwa wa hovyo kuliko anaejitegemea.
Ila wanawake akili zao wanazijua wenyewe. Yani mtu hela ya kula hana, ila anataka kuwekeza 2m kwenye iphone ili akapige picha chooni aonyeshe macho ma3. Izo ni akili au matope..?Demu wa hivi yuko tayari kuuza hadi. 0718 ili apate Iphone.
Wewe fikiri hana hata Laki moja ila anataka simu ya milioni 2
Sasa vipi wale waliopata kazi mbali na home itakuaje?Lakin angalau ukikaa nyumbani kuna baadhi ya maujinga huwezi fanya. Jamii yetu mwanamke akipanga maana yake ni shindikanaaa. Anatafuta nafasi ya kufanya ushenzi wake vizuri