Wakuu nina wazo

Wakuu nina wazo

Mkuu mbona huyu demu kama namfahamu..?🤣🤣🤣

Kuna ambae nilikua nae juzi nae ana iphone x na kaniambia haitaki tena anataka ku top up achukue 13 pro max. Nikamuambia umeambiwa uongeze shing ngapi anadai kaambiwa ajazie 1.5m. Namuuliza ehee we una ngapi sasa kati ya hizo? Anasema ana 100k! (Najua ni uongo hana ata mia) 🤣🤣🤣 Nilicheka sana nikamuambia hebu vua nguo tulale..
Demu wa wote hahaha
 
Nikamuambia umeambiwa uongeze shing ngapi anadai kaambiwa ajazie 1.5m. Namuuliza ehee we una ngapi sasa kati ya hizo? Anasema ana 100k! (Najua ni uongo hana ata mia) 🤣🤣🤣 Nilicheka sana nikamuambia hebu vua nguo
Demu wa hivi yuko tayari kuuza hadi. 0718 ili apate Iphone.

Wewe fikiri hana hata Laki moja ila anataka simu ya milioni 2
 
Back
Top Bottom