Raia mpya
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 673
- 1,915
Wasaalaam wakubwa zangu jamani nimekaa nimejiuliza hivi nyie vidume wenzangu huwa mnafanyaje fanyaje mpaka mnapostiwa na kuwekwa DP kabisa mbona mimi sijawahi au bado nafanyiwa tathmini I mean nipo kwenye majaribio, au ndio nina det na demu wa mtu.
Hebu nipeni mbinu wadau nami nijione mtu kwenye watu.
Hebu nipeni mbinu wadau nami nijione mtu kwenye watu.