Wakuu nipeni maujanja

Wakuu nipeni maujanja

Wasaalaam wakubwa zangu jamani nimekaa nimejiuliza hivi nyie vidume wenzangu huwa mnafanyaje fanyaje mpaka mnapostiwa na kuwekwa dp kabisa mbona mimi sijawahi au bado nafanyiwa tathmini I mean nipo kwenye majaribio, au ndio nina det na demu wa mtu
Hebu nipeni mbinu wadau nami nijione mtu kwenye watu
Tafute pesa uwache kujitamburisha sana kwa watu.
 
Unalilia kuweka DP bro seriously? Nmezoea maduu ndo wanatakaga ivo

Achana na hayo mambo ya whatsap imekuja juzi we jenga penzi kwa uyo mama DP acha aweke maua
 
Ndugu yangu kama sura yako ni mbovu kama mimi hapa+Huna hela like me.nakushauri tuungane Kuwaita hawa wanawake shemeji
 
Wasaalaam wakubwa zangu jamani nimekaa nimejiuliza hivi nyie vidume wenzangu huwa mnafanyaje fanyaje mpaka mnapostiwa na kuwekwa DP kabisa mbona mimi sijawahi au bado nafanyiwa tathmini I mean nipo kwenye majaribio, au ndio nina det na demu wa mtu.

Hebu nipeni mbinu wadau nami nijione mtu kwenye watu.
 
Back
Top Bottom